Makonda hiv..kamaliza chuo ln? na kupata ukuu wa wilaya ln? na ukuu wa mkoa ln? je walikuwa hawajui kuwa siyo makonda ? kwann baada ya kutaja mafisadi mateja wanaibuka kuwa kafoji vyeti propaganda hizo makonda piga kazi mkuu
Wanao piga kelele nafikilia hamujawah kuwa ata kiongozi wa nyumba kumi mwenzako kaww kiongozi ntangia akiwa school leo hii mkuu wa mkoa tena mkoa mkubwa sana nchini hapa Unajua munapiga kelele bule yule hawezi kuteguliwa na kama uko dar utaendelea kuwa nchini ya makonda kama humutaki hama...
Pia mm nimekuerewa mtoa madaa lakn?mm pia elimu yangu cyo kubwa Nilitaman sn kuona wasomi hususani wanale wana shelia,wakilizungumuzia ?Kama wana ushahidi kwann asipelekwe mahakaman ?Kwann wana toa tu maneno mm naomba wana shelia ebu tusaidie kwa hilo.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.