Ndugu tumia ubongo wako kwa manufaa ya wengi na sio tumbo lako,hata huyo mzee ataondoka watakuja wengine,kukomoana sio vizuri sote ni binadamu na tupo nchi moja,yale mnayotaka mtendewe watendeeni na wengine vivyo hivyo!Wew ni mmoja ya wachache wanaofurahia marupurupu ya mzee kwa hiyo unaona...
Mbona wabunge huwa hamuwambii kuwa hamtawalipa posho na malipo mazuri ili hela ziende kwenye maendeleo?kwa hiyo watumishi tena wanaifanya ccm ionekane ndo mbuzi wa kafara?Oneni aibu basi na hata mfanyapo ibada kuweni na aibu nasi
Ni kweli anahoja lakini kanuni zinatanabaisha wazi kuwa timu inaweza kuwa na wawekezaji zaidi ya mmoja,aende akawekeze Simba tena amzidi MO ili awe na sauti tumechoka mipasho ya wabongo! 51% zenyewe za wanachama zinachechemea bado mtu anataka 20b ziwekwe hata nikiwa ndo MO sitoi ng'oo
Akishinda JPM itakuwa ni zaidi ya sasa hali ya kimaisha,kwanza atajiongezea muda wa kutawala,na sheria nyingi tu zenye kumpa mamlaka zitaingizwa na wabaya wake watashughulikiwa kwa sana
Huyu uongozi wake utapita na watakuja wengine!hata ongoza milele yye na genge lake kama huyu mleta hoja,waombe Mungu sana asije mtu wa visasi dhidi yao na vizazi vyao!
Nenda k
Nenda kasome kanuni namba 14(1-7) ya mwaka 2003 ya utumishi wa uma juu ya vyeo na nyongeza za watumishi kama lilivyotolewa kwe tangazo la serikali namba 168 la tarehe 20/06/2003
Hivi mwanangu mbona una wivu sana na maisha ya watu!kama mtu anawajibika kibaruani kwa nini uanze kumchawia hivi,kila mtu anamipango yake ya kuishi na kufanikiwa!mbona wanasiasa wanatoa rushwa husemi?kumbuka wivu ni mzizi wa dhambi!
Umesema umeachika mara saba sasa mbona hukukomaa ubaki kwenye ndoa na ukaendeleza michepuko pembeni?Unamshauri mwenzio abaki kwe ndoa ila awe na kidumu cha kumfariji ili hali we mwenyew tu ulishindwa na ukaachika mpaka mara saba,Rejea post zako huko juu,
Sasa kama hawakuwa mabikira si inamaana walishindwa kuwa waaminifu utotoni/ujanani mwao,sema hapo wamezidiana hafu inawezekana mdada aliikamia ndoa kishenzi kama dabi ya kariakoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.