Recent content by dogodogo 2

  1. dogodogo 2

    Jinsi ya kuandika maandishi mekundu fb

    Habari wakuu, naomba kwa mwenye /wenye kujua namna ya kuandika maandishi mekundu Facebook atuelekeze. Nawasilisha [emoji120]
  2. dogodogo 2

    Uzi maalumu wa ku comments au kujuzana maswali ya interview

    Why do you want to work with us? Unajibu nn hapa
  3. dogodogo 2

    Uzi maalumu wa ku comments au kujuzana maswali ya interview

    Habari wakuu, nimeona ni vizuri kuanzisha uzi maalumu wa kuhabarishana maswali ya interviews yaani usahili wa mahojiano na wa kuandika ili tuweze kujijengea uwezo au uelewa kujibu maswali,, uzi huu ni kwa kada mbalimbali, unaweza weka tangazo la kazi pia. Let's share now
  4. dogodogo 2

    Uzi maalumu wa wa mashair yahusuyo ugumu wa maisha

    Full stop maisha magumu hasa yetu watz
  5. dogodogo 2

    Uzi maalumu wa wa mashair yahusuyo ugumu wa maisha

    COMENT CHOCHOTE HATA SHAIRI LENYE KULENGA UGUMU WA MAISHA, HALI HALISI MITAANI! NAANZISHA : Kifo cha maji kushoto, Kulia Kifo cha moto: Kukubali, kukataa, Kila moja ni balaa! Kote uko hatarini, Hujui ufanye nini. Ongeza na wewe
  6. dogodogo 2

    Utambulisho

    Kwa niaba ya joseverest unakaribishwa
  7. dogodogo 2

    Wasaka ajira

    Tuna upload copy na sio original?
  8. dogodogo 2

    Wasaka ajira

    Tujuzane hapa gharama
  9. dogodogo 2

    Mchumba anatafuwa umri 18-29

    Wajina wangu kwa real name nakutakia kila la kheri
  10. dogodogo 2

    Mtoto aliyezaliwa na VVU aishi bila ya virusi kwa miaka minane

    Mmmh wacha tumuachie Mola tu, wa south Africa wasomi haswa cjui taifa la bongo tutagundua nn
Back
Top Bottom