Huenda hao watu walijiunga na kifurushi cha TASAF ambacho mnufaika anafanya kazi ndipo analipwa .sasa kama hakuenda kwenye kazi outomatic mfumo unakataa kumlipa na ninachofahamu kujiunga ni hiari.
Nyumba ya kupanga yenye uzio wa ukuta,umeme ,maji na vyumba vitatu vyote master bed room inapangishwa Boma Ngombe karibu na chuo cha ufundi st Joseph mazungumzo yapo
Piha namba 0715407588
Ninaomba kuuliza hiyo team iliyotangaza hicho kipindi walikutana hapo siku hiyo moja na kutangaza na kula keki pamoja au kulikuwa na muda wa siku kadhaa waliokutana pamoja kishare ideas kufanya majaribio na hatimae wakafikia siku ya kilele cha uzinduzi!!!!!!!najiuliza maswali haya na ninatamani...
Watoyo wote wapo likizo lakini wazazi wao walikua wamejazana kwenye nightclubs na bar usiku baadae wanaenda kuchanganyika na watoto wao
Ninaumia sana kuona uzembe wa namna hii bora hao watoto wangebakia huko shuleni na waalimu wao
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.