Ununuzi wa magari kwenye minada ya Japani

avocado T

Member
Jul 18, 2022
18
26
Wakuu habarini za majukumu, samahani mwenye uzoefu au anayefahamu utaratibu wa kununua magari kwenye minada ya Japani anisaidie. Nasikia mnadani magari ni bei nafuu.

1. Naomba kufahamu utaratibu ukoje, kuanzia kushiriki mnada, kununua mpaka kulifikisha TZ
2. Je ni kweli bei ni nafuu kuliko kwenye haya makampuni kama SBT, Beforward, Cardeal etc?
3. Usalama wake ukoje?

Nawasilisha.
 
Wakuu habarini za majukumu, samahani mwenye uzoefu au anayefahamu utaratibu wa kununua magari kwenye minada ya Japani anisaidie. Nasikia mnadani magari ni bei nafuu.

1. Naomba kufahamu utaratibu ukoje, kuanzia kushiriki mnada, kununua mpaka kulifikisha TZ
2. Je ni kweli bei ni nafuu kuliko kwenye haya makampuni kama SBT, Beforward, Cardeal etc?
3. Usalama wake ukoje?

Nawasilisha.
Ni kweli mnadani gari bei ni ndogo sana, ishu ni kupata access ya mnada. Kwanza ili uwe na sifa ya kununua mnadani kuna cash inabidi udeposit ambayo inaanzia dola 1000-1500 inategemea na kampuni.

Mfano ili uweze ku-access mnada kupitia kampuni ya Autocom Japan itakupasa udeposit pesa. Baada ya hapo unapewa utaratibu, kumbuka mnadani watu wana-bid the highest bidder ndio anapewa kipaumbele.

Usalama wa nini pesa au?

Mengine watajazia wadau, hope umepata mwanga.
 
Wakuu habarini za majukumu, samahani mwenye uzoefu au anayefahamu utaratibu wa kununua magari kwenye minada ya Japani anisaidie. Nasikia mnadani magari ni bei nafuu.

1. Naomba kufahamu utaratibu ukoje, kuanzia kushiriki mnada, kununua mpaka kulifikisha TZ
2. Je ni kweli bei ni nafuu kuliko kwenye haya makampuni kama SBT, Beforward, Cardeal etc?
3. Usalama wake ukoje?

Nawasilisha.
Unafuu ni kweli kabisa....
 
Ni kweli mnadani gari bei ni ndogo sana, ishu ni kupata access ya mnada. Kwanza ili uwe na sifa ya kununua mnadani kuna cash inabidi udeposit ambayo inaanzia dola 1000-1500 inategemea na kampuni.

Mfano ili uweze ku-access mnada kupitia kampuni ya Autocom Japan itakupasa udeposit pesa. Baada ya hapo unapewa utaratibu, kumbuka mnadani watu wana-bid the highest bidder ndio anapewa kipaumbele.

Usalama wa nini pesa au?

Mengine watajazia wadau, hope umepata mwanga.
Shukrani sana mkuu

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom