Ndio inavyosemekana hata kusoma Pharmacy, nursing pia haruhusiwi yani course ambayo anaweza kusoma ni ENVIRONMENT HEALTH TU tofauti na hapo akasome Education sasa ndo sijajua Hiyo inshu ni kweli ama
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana kwamba kuna tamko limetoka kwamba mtu aliyesoma CBG hawezi kusoma Nursing, pharmacy, Doctor wa mifugo yani kama akisoma ni ENVIRONMENT HEALTH TU ndo itahusika kwahiyo inabidi hasome Education ama vitu vingine lkn kwa Pharmacy, Nursing haruhusiwi kusoma ndo sijajua hapo kama kuna huo...
Ndugu zangu Hivi Ni kweli kwamba Wale Wanaosoma comb ya CBG hawataruhusiwa Kusoma Course za Sayansi Chuo Kikuu ama hizi taarifa siyo za kweli!?
#Ufafanuzi Jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
#SOJOURNER__TRUTH
Mtumwa aliyepigania haki za watu weusi nchini marekani.
Binti aliyezaliwa kwenye familia ya utumwa- huko newyork miaka ya 1790's
Akiitwa Isabella na baadaye kubadili jina na kujiita #sojourner_truth.
"Unajisi wa sheria hutokea pale ambapo mahakmu/majaji, hujiweka mikononi mwa watawala na kuamini watawala wana nguvu kuliko sheria" *Lamar_Smith*
Sent using Jamii Forums mobile app
Unywaji wa pombe ni suala la kihistoria,pombe imekuwa ikitumiwa katika jamii nyingi kote duniani toka karne na karne kama kinywaji na kiburudisho. Ukiachia kuburudisha pombe imekuwa na madhara mengi kwa binadamu kuliko faida zake ukiachia umaarufu na matumizi yake kuwa mkubwa sana.
Pombe ina...
Wavutaji sigara hupata magonjwa ya macho mara nyingi kuliko wasiovuta. Sehemu ya macho inayopitisha mwangaza inaweza kufichwa kama vile wingu linavyoficha jua(yaani kwa ikimombo) na kusababisha upofu.
Ugonjwa huu husababishwa kwa njia mbili. Kwanza moshi wa sigara huwasha macho na pili...
*vita vya adwa*
Hivi ni vita vilivopiganwa kati ya Ethiopia na Italia, mnamo mwaka 1896.
Kwa wakati huo, ethiopia ilikuwa ikijulikana kama "Abyssinia" na ilikuwa ikiongozwa na mfalme menelik wa pili.
*chanzo cha vita[emoji116]*
Vita hivi vilisababishwa na utata uliojitokeza katika *mkataba wa...
UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASIKINI
"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa...
UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASIKINI
"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa...
Tzjobconnection tumekuwekea listi ya vyuo 14 vilivyoanza kupokea maombi ya masomo ya degree kwa mwaka 2017/18 wa masomo, soma admission requirements na download application form*
bofya kwenye linki kuapply na usisahau kushea na wenzio[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Admission into...
Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana Hakuna Rafiki Mzuri Ulienae Akujuae Vzr Kama Nafsi Yako Mwenyewe
Wengi Watakuambia Hauwezi Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.