Recent content by Docmsafuser

  1. D

    Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

    unavyo vingapi mzee?mi kamoja tu nshakata tamaa kama una vitatu hivi tafuta kabisa hospitali ya ushauri nasaha na gwajima ndio huyo kaingia siasani sijui utaenda wapi
  2. D

    Dar: Ndege ndogo yaanguka Kitunda, ilikuwa inatokea Mufindi

    Huko Moshi atakayemiliki hii skrepa anaitwa Bilionea ukoo ukoo mzima na hii gereji na kiwanja unapewa huko uanze kufuga nguruwe ukifa wanazika hukohuko. mungu anawaona wachaga
  3. D

    GE2020 Tundu Lissu ni Nyerere anayeishi!

    WTF,huyu huyu ALIYEMTUKANA MWL NYERERE BABA WA TAIFA HILI?BIG NOOOOO
  4. D

    Mara: Kijana ahukumiwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa mwaka mmoja

    Duh,ingekua mii baba ya mtoto polisi asingefika
  5. D

    GE2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

    LOPOLOPO anaforce king ili atandikwe aanze kulia lia kwa mabeberu si mnaona mnaona wamenichapa tena.hizo strategy za chama chake maana ndio waliomvunja mguu. huku chama dume wanamsoma tu kidiplomasia atakuja kuotewa atabaki anajamba tu. Jiwe anamwangalia tu anasema NHIIII😁
  6. D

    GE2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

    Wakili anajua atashindwa na atachezea fimbu za kutosha baada ya uchaguzi anatafuta wa kufa nao.
  7. D

    GE2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

    Anadhani kuongoza JMT ni sawa na kuwa rais wa TLS
  8. D

    GE2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

    Kwani kwao kule mkimbizi huyo aliyepewa kipindi maalum kustay. eti leo kuna watu wanazani huyu anaweza kuwa rais🙃. in my dead body
  9. D

    Songwe: Ahukumiwa jela miaka mitatu kwa kumtukana Rais Magufuli

    mwache wampeleke huko akaolewe akitoka atajua adabu kutotukana viongozi hovyo
  10. D

    Harmonize unamuimbia nani Kiingereza?

    Mama ndio muitaliano baba wa Morocco hapo
  11. D

    Kenya yafaulu kuuza maparachichi kwa mataifa 42, mwendo wa mbele kwa mbele, wakulima wetu hoyee

    TU avokado huto tuko km vimapera vibichi ndo unapiga kelele hapa,nenda Mbeya pale ule avokado moja tu family nzima mtakula na kusaza, soko la ndani linatutosha nyie pakieni kwenda Europe hivo vitakataka.
  12. D

    Dar es Salaam mpya ya "Kunenge"

    AU MVUVI MDOGO KULE NYAMAGANA YOTE YANAWEZEKANA ALISIKIKA JIWE AISEMA
  13. D

    Honourable Bernard Kamilius Membe, former Minister for Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania

    kawa mdogo kama mtoto juzi ukimwona,yaani kwa picha ile anaonekana ana stress sana ya kutoswa na chama nguli.huko ACT kaenda zuga tu.
  14. D

    Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

    Membe siku chache tu kapururuka namna hii
Back
Top Bottom