Dar es Salaam mpya ya "Kunenge"

Dar es Salaam mpya ya "Kunenge"

Wasalaam

Kufuatia kuteuliwa kwa ndugu Aboubakar Kunenge kushika nafasi ya ukuu wa mkoa wa Dar es salaam iliyokuwa chini ya ndugu Paul Makonda (mbunge mtarajiwa)

Baadhi ya wakazi wa jiji la ar es alaam wamegubikwa kwa vifijo na nderemo baada ya teuzi hiyo, huku wananchi wengi wakionekana kuwa na furaha na hatua hiyo.

Ndugu Kunenge kabla ya hapo alikuwa katibu tawala wa mkoa huo ambapo sasa anaenda kushika usukani wa kuendesha Jiji hilo, tutegemee nini kutoka kwake? Ni mabadiliko gani tutaenda kuyaona?

View attachment 1507701




Let's meet at the top, cheers
Sasa unatuuliza sisi utazani sisi ndio kunenge vile
 
Kwani Rais alisemaje?! Ukiomba ruhusa kugombea ubunge huku una cheo kingine anakupa hio ruhusa haraka sana (anakutoa hio nafasi). Na ndio hiko kimefanyika kwa Makonda. Sasa shida iko wapi?

Hakuachia ngazi, bali katumbuliwa.
 
, pole na karibu tena.
Mwalimu wako wakiswahili alipata shida sana
Screenshot_20200716-002920.jpeg





Let's meet at the top, cheers
 
Back
Top Bottom