Recent content by do wat u think

  1. do wat u think

    Nimekuwa na Imani sana na Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Emmanuel

    Ni kweli mkuu ila, hakuna Rais ataekamilika kwa 100%, kikubwa awe na unafuu mkubwa akilinganishwa na waliopita au washindani wake. Nb. Kikubwa zaidi kwangu, asiwe mtekaji au muuaji, haya mambo yananikwaza sana, huwa yananifanya nifute mema yote yaliyotendwa, kwa kifupi awe mpenda haki.
  2. do wat u think

    Amependeza

    Kabisa mkuu[emoji23]
  3. do wat u think

    Shinyanga: Suruali yenye damu yatengua hukumu ya kifungo cha miaka 30

    Maana anajua saizi vizuri[emoji28][emoji28][emoji28]
  4. do wat u think

    Kesho ndio mwisho wangu wa kutoa na kutuma pesa kupitia mitandao ya simu

    Kwa hiyo makato ya kutoa pesa bank wameacha constant?.....kama ni hivyo ote tunahamishia miamala etu kwa bank[emoji20]
  5. do wat u think

    Nahitaji mwalimu wa wa Pure Math A Level

    Hata mimi pia.. maana trig ilikua inanikera sana, yaan kama swali ulilokutana nalo hujawahi lisolve bora uache tu then ufanye mengine. Kuna mda inaweza kukufariji then ukaanza kwa mbwembwe..... Utaskia; Consider LHS..[emoji4] Unaenda unaendaaa, badae unakuta RHS iko tofauti kabisa na...
  6. do wat u think

    Nahitaji mwalimu wa wa Pure Math A Level

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu acha kumtisha mwenzio kiasi iko khaaa!!!. Je kama Calculus ndo ataielewa zaidi kuliko izo[emoji28] Kikubwa kwa Adv. Maths, ukipewa kacocept kadogo basi wewe kachimbue saaanaaa na kusolve saaanaa!, hapo hesabu zitakua rahisi kuliko masomo mengine... Hamna...
  7. do wat u think

    IFM mnalazimisha kila course mfundishe hesabu!

    Ee itakusaidia kucalculate distance from alipo adui ili ujipange[emoji23][emoji23] Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  8. do wat u think

    IFM mnalazimisha kila course mfundishe hesabu!

    Kwamba simu nyingine hata ukikosea kuandika zinakurekebisha automatically [emoji4] Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  9. do wat u think

    IFM mnalazimisha kila course mfundishe hesabu!

    Hivi hesabu ziliwakoseaga nini?[emoji38][emoji38] Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  10. do wat u think

    Weka In Case Of Emergency (ICE) kwenye simu yako ya mkononi endapo utapata tatizo wasamaria wema waweze kuwasiliana na watu wako wa karibu

    Hakika nimeokoa maisha yangu tayari[emoji2] Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  11. do wat u think

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Why usimfanye mke tu? Au ana mume tayari
Back
Top Bottom