JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Mtoto wa kike mpaka amalize shule kazi anayo.Watoto wetu wamepinda balaaa. Leo nimetongizwa na mschana ambaye namzidi miaka 25. Na kapo serious kweli. Kwa kaI mm mwalimu sio sec wala primary. And huwa nipo very serious na huwa sizoeleki kirahis ila huwa nanyofoa ninayemwona anafaa kwa matumizi nakula.
Sasa hiki kitoto nashangaa juzi nikapokea sms ya kihuni dizain sikuijibu maana hata namba yake sikuwa nayo. Basi leo tena nikapokea ingine, kwa vile sikuifuta sms nligundua ndo ile no ilonitexr juzi. Tumechat mistari kadhaa, naulizwa ushajua unachat na nan, ndo ikabidi kanitumie picha. Ss wazee mabaharia huyu mtoto kafika kibra mimi tu ndo naremba