Mi nilikodi bodaboda saa 7 usiku kwenda klabu kuwa nitamtolea tgpesa. Mtandao uligoma alinirudisha kwa makubaliano ya kumlipa kesho yake jspokuwa tulikuwa hatujuani. Nilimlipa,. Ujumbe tuheshimu ahadi vingimevyo titapoteza
Msichanganye teknelogia 2tofauti ya kisasa na ile ancient. Unaongea humu kwa sababu wale wanahitaji physical identity na si hii ya Kielektroniki. Kama kweli unawapa jaribio wafuate kiuharisia
Ungeanza kwa kutufahamisha katiba ya chadema inasemaje. Japokuwa sijaisoma, uhalisia ni kuwa mjumbe wa kamati kuu automatically atakuwa mjumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu.
Kwenda kumuona kwa wingi ni wazo jema lakini kwa uzoefu wangu keko hakuna visting day. Sanasana watamuita mtssapimiana juujuu na kutakiwa kupisha aidha kama ni kupeleka chakula wanaruhusu kila siku mara mbili. Saa 4 na saa 7
Kama umesoma vizuri nimesema kwa mujibu wa vyombo vya habari na nikasema kama kuna la ziada tujuzane. Kama ulikuwepo mahakamani we ndio unapaswa kutuelewesha hayo mengine.
Mkuu kinachokuboa ni kipi hasa, kwa sababu Max kashitakiwa hili sio jambo la kushangaza kwa mwenendo tulionao hapa nchini kwa sasa. Bahati nzuri amefikishwa mahakamani na dhamana iko wazi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari alirudi mahabusu kwa kukosekana mdhamini mmoja kati ya wawili kwenye kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.