Yah ukiona matangazo kwenye mistimu mshahara 300k elimu kidato cha nne na ukituma tu unaitwa kesho au hata siku hyo hyo unaweza kuambiwa uanze kazi, ujue kazi ndio hiyo
Daaah hizo bado zipo hadi leo aisee nyingi sana, yaani ukiona tu umepata au umeitwa kazini kwa urahisi hvyo ujue asilimia kubwa unakutana na hayo mambo
Habarini WAna Jf.
Mimi ni kijana wa miaka 25, elimu kidato cha 4 plus certificate/ Nna uzoefu wa miaka 5 kufanya kazi sehem mbalimbali (mostly kwenye kampuni za betting)
Natafuta ajira mwezenu nina nilikuwa kwenye kampuni hizi za betting ila korona ikasababisha watu wapunguzwe
Kwa mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.