Ndugu zangu leo nimevamiwa na vibaka ofisini kwangu wakafanikiwa kumwibia mteja simu, begi na hela. Nilichofanya nimeripoti polisi kisha wakati tunarudi tukakutana na wale vibaka nikawaambia tafadhali rudisheni begi letu kusikia hivyo wakatoa mapanga na visu mimi nikatoa panga langu pia...
Naitwa Selemani nina mpenzi wangu tuko kwenye mahusiano mwaka na miezi miwili sasa ila hataki kunipa penzi kabisa ananambia ni bikra na atanipa tu nikifunga nae harusi..
Chakushangaza naingiaga nae lodge tunafanya romance naked hadi alaloana kabisa ila nikitaka kuingiza hapo ugomvi utazuka...
Msitufanye watoto bana sisi tumejaliwa tumesoma psychology na kabla tukio halijafanyika huwa tinaanza kuangalia maneno waliyokuwa wakiongea watu na trend ya matukio mwishowe tunaangalia namna mnavotaka kubadili ukweli kuwa uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.