Unatakiwa uende polisi. Uwaambie unataka ufungue kesi ili waweze kuitrace hiyo simu. Polisi ndio wataenda kwenye kampuni za simu kuitafuta/kuitraceNaomba msaada namna ya ku trace simu iliyoibiwa imei yake ninayo sasa niwasiliane vip na TCRA ili au tuipate au tuifunge??