Habari,Mimi mkazi wa kata ya Nyanga Bukoba manispaa.Eneo kubwa la mtaa wetu wa nyanga zahanati hatujafikiwa na huduma umeme.Sababu kubwa ni kuwa Huu mji umeanzishwa hivi karibuni na kwa sasa una takribani nyumba 107 ambazo watu wanaishi na ujenzi bado unaendelea. Tumefanya juhudi mbalimbali za...
Team Destination wameachia video ya wimbo wao mpya unaitwa Naongea na simu.Na wasanii wapya Ila kwa uwezo Wa kuimba na kuandika nawatabiria kufika mbali katika tasnia hii ya burudani.
Kutazama na kufownload video ya wimbo wao fuata link hii
Ushauri,kuwapa moyo,kuwakosoa vyote vinahitajika nami...
Ngara kuna hotel mpya kubwa na nzuri ina kila kitu kama restaurant ya kisasa jiko la nyama choma ,bar(VIP) na kawaida vyumba safi vya kulala vya bei nafuu vinaanzia 35000 na kuendelea ,club pia ipo ina baa ndani inaitwa Moonland nakushauri fika pale haiko mbali na mjini hizo hotel za kabanga...
Uvivu ndiyo unawakimbiza wanataka kula bure na kulala bila kodi nyarugusu pale pia unhcr walipeleka ulaya baadhi ya wakimbizi na kuwapa uraia wa nchi tofauti wanavizia channel kama hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.