Kwanza TSC ipo chini ya Mkurugenzi?wanawajibika kwa Mkurugenzi?kuwa kwenye jengo la Mkurugenzi hainamaana wako chini yake.Hawo pamoja na udhibit ubora hawawajibik moja kwa moja kwa Mkurugenz,Wanawajibika kwa Katibu mkuu
Kwangu mimi siombaya historia ikasomwa kwa wote ila combination ya HGL&HKL iondolewe.Language wanafunzi watasoma kwenye KLF,na History itasomwa kwenye HGE.
Bashe nimemwelewa sana kunakipindi nilikuwa na gunia 100 zenye debe 10 kila gunia ikauza na kupata milion 2.kama hujalima huwezi ukachukulia kwauzito kauli ya bashe.Mnaolalamika sana mpo mjini hamna hata shamba
Kutoka bagamoyo hadi dar nikilometa chache sana.Ujengaji wa bandari kubwa ya bagamoyo itasababisha bandar ya dar pamoja na tanga kufa.Na tukumbuke mradi wa bagamoyo siomsaada ile ni investment yao kwa gharama yao.Baada ya kujengwa lazima itakuwa chini yao kwamiaka ili irudishe pesa yao na...
Naona mnaanza kuweweseka halafu bwanamkubwa niakili kubwa haitatokea akashindwa,nimtu makini mno aliyewahi kutokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew uliyeleta hii mada inaelekea umeandika kishabiki sana,kwanza inaelekea hata huyo mbunge hukumsikiliza alikuwa anaongelea nin,nasababu ya ajali inaelekea huijui chanzo chake nin!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.