Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,236
- 13,814
nopeRais Magufuli ana moyo wa huruma.
Mungu azidi kumbariki!
nopeRais Magufuli ana moyo wa huruma.
Mungu azidi kumbariki!
KabisaaaaaYAPO MENGI MAKUBWA YA KUSHANGAA,HILI NI DOGO SANA.
Umeeleza vizuri madaktari ndio hupendekeza mgonjwa apelekwe hospitali gani kama ilivyokuwa kwa Lisu na Askofu.
Safari ya Nairobi ilikuwa ni mipango binafsi ya Chadema na siyo ushauri wa madaktari!
mkuu upo. umenifurahisha sana.Choir master of the super praising team
Mmmm watanzania...acha kila mtu mjuaji.Nilijikuta nikiwaza na kuwazua kwa jinsi Serikali inavyojitapa kuwa nchi hii tuna pesa nyingi na tunaweza kufanya lolote ila tumekosa kitu muhimu kiasi hiki kwa ajili ya wananchi katika hali za dharura mahospitalini.
Jana Rais alisikika alipomtembelea hospitali Askofu Mkuu wa Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu;"Niliongea na Askofu Msaidizi wakati huo wameelezwa na KCMC kwamba ni lazima Askofu Ruwa'ichi apelekwe Muhimbili.
palikuwa hakuna usafiri wa kumleta lazima wachukue ndege ya ambulance ya kumleta na ndege lazima ukodi Afrika Kusini au Kenya, basi wakati wanahangaika nikasema Madaktari wajiandae natuma ndege, ndipo nikatuma ndege harakaharaka ikaenda ikamchukua" - Rais Magufuli.Inahuzunisha.
Naomba tutajie aina ya hiyo Helicopter ya $500,000.Mabilioni yaliyotumika kujengea uwanja wa Ndege wa Chato ambao hauna umuhimu wowote kwa sasa yangetumika kununua hata helicopter tatu kwa ajili ya kutumika kama air ambulance. Unaweza kupata helicopter nzuri kuanzia $500,000.
Familia ya Lisu inapsjua Nairobi hadi walazimishe mgonjwa apelekwe huko?!!...ile ilikuwa ni mipango ya Chadema!..Ilikuwa ni mapendekezo na maombi ya familia kuwa TL apelekwe Nairobi kwa matibabu zaidi.
..Na Madaktari, wakiongozwa na PS wa wizara ya afya, waliridhia mapendekezo / maombi hayo. Ndiyo maana walikubali kumsindikiza mgonjwa.
..Swali ni kwanini serikali ilikosa huruma ya kumpatia usafiri mgonjwa, kiongozi wa bunge, ambaye alikuwa mahututi ktk hatari ya kukata roho?
na angekua mtanzania wa kawaida wa kutoka mchambawima possibility ya kufa ingeongezeka na kufikia 99.9%. double standards at its f**ng best.Kwa kifupi tu ni kwamba, kama baba Askofu angekua ni Mtanzania wa kawaida tuu wa kutoka Nalinjinji, au Kantalamba, au Kamsamba, hadi sasa hivi uwezekano kwamba angekua amefariki ni 90%. Hivyo ndivyo ambavyo Watanzania wengi wa kawaida wanafariki kwa kukosa proper medical attention wanapohitaji.
Una hoja nzito.kanisa la Efatha kwa Mwingira wana Hadi ndege ya kanisa.Katoliki sijui kwa Nini hawana.lawama zingine kwa serikali Kama za mleta mada hazina msingi.Wao Kama kanisa lenye mahospitali walitakiwa wawe nazo hizo ndege za ambulance
Kama ndege ya katoliki itawabebaNa Wananchi wenye Hali duni , wao wajifie tu si ndivyo
Mkuu !?
Familia ya Lisu inapsjua Nairobi hadi walazimishe mgonjwa apelekwe huko?!!...ile ilikuwa ni mipango ya Chadema!
Kwani Nairobi kuna nini cha ajabu ambacho Muhimbili hakuna?..hata kama ilikuwa ni mipango ya cdm bado inashangaza kuwa ndani ya serikali hakuna aliyeingiwa simanzi au kuona umuhimu wa kusaidiana nao kwa kuwapatia usafiri wa kumuwahisha TL Nairobi.
..angekufa ungekuta Jiwe na Ndugai wanatoa kauli nzuri-nzuri za kumpamba na kujionyesha kuwa alikuwa mpendwa wao. Lakini they were not ready to do what was in their power to save his life.
..unajua viongozi wasipothaminiana, au wakichukiana, siyo rahisi wananchi wa kawaida wakapendana na kuwa na mshikamano.
😁😁😁😁 Lisu alitoroka hospitali Nairobi akiwa na madrip akakimbilia ubelgiji kama Kuna matibabu mazuri kilimkimbiza Nini? Mleta mada leta jibuKwani Nairobi kuna nini cha ajabu ambacho Muhimbili hakuna?
Mbona walishindwa kumhudumia mgonjwa hadi mwisho na wakalazimika kumpeleka Ubelgiji?
Kwani Nairobi kuna nini cha ajabu ambacho Muhimbili hakuna?
Mbona walishindwa kumhudumia mgonjwa hadi mwisho na wakalazimika kumpeleka Ubelgiji?
Tupo na kwa taarifa yako..Mtanza
Mtanzania ambae bado anawaamini ccm akapimwe akili
Kwani Tundu Lisu ni mbunge wa kwanza kupata matatizo akiwa bungeni?!..hii siyo hoja ya Nairobi vs Muhimbili.
..hoja yangu ni UBINADAMU na UTU ambao nadhani ulikosekana kwa watendaji wa Bunge na serikali ktk kumsaidia TL.
..Jiwe, Ndugai, na Mbowe, walitakiwa washikamane, wawe kitu kimoja, siku ile Sept 7 ktk kuokoa maisha ya kiongozi mwenzao.
..UPENDO na UMOJA wetu umekwenda wapi?