Recent content by discount supermarket

  1. D

    Natamani nipate mume mwenye hela ila asiwe na kibamia 2020

    Maombi yako Ni gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Wanaume wengi kabla ya tendo wanaenda haja kubwa

    Huwanajiuliza ni kwanini mara nyingi nimeona nikiingia na wanaume chumbani kufanya tendo lazima wajisaidie haja kubwa, sio kwangu tu wanawake wengi wanakiri hivo
  3. D

    Naolewa ila nimeamua kufanya revenge kwa maex zangu

    Naolewa siku sio nyingi ,ila nimeamua kufanya revenge kwa wanaume walionicha Wa kwanza nilimtafuta nikamlilia sana nikampa na limbwata ,ndoa yake inapumulia oxygen amemfukuza mke wake anaplan tuishi wote Mimi hata sina mpango nae nakamilisha tu kisasi changu nimkimbie , Mwingine nimeshamseti...
  4. D

    MWANAUME KUWA NA RAFIKI WA KIKE

    Inawezekana kabisa.nina rafiki wa kiume mzuri tu .simtaki kimapezi same to him Tuko mabest sana
  5. D

    Shida tunazozipata wadada wa makamo tulio single miaka 35 na kuendelea

    Maswali kila Kona,utazaa lini? Beba mimba mwezi huu? Kuzaa ni kudra za Mwenyezi Mungu,kila mwanamke anatamani kuwa na mtoto.ila mkiona mtu hajazaa jua muda wake Bado hata Sara wa ibrahimu alizaa na miaka tisini.msilazimishe watu kuzaa eti umri unaenda wakati kulea hamtaki.Gods time is the best...
  6. D

    Nifundisheni Kumpenda

    Kama humpendi humpendi tu
  7. D

    Nimefurahi kuja kupata marafiki hapa

    Hapana .nimeacha Kwanza najishughulisha na biashara kwanza
  8. D

    Mwanamke epuka mwanaume anaekupaka mate

    Sijishughulishi na mambo hizo hata
  9. D

    Una cheti nina mume

    Kama mwanaume hakupendi na unashabikia cheti za ndoa huo Ni utumwa
Back
Top Bottom