Huwanajiuliza ni kwanini mara nyingi nimeona nikiingia na wanaume chumbani kufanya tendo lazima wajisaidie haja kubwa, sio kwangu tu wanawake wengi wanakiri hivo
Naolewa siku sio nyingi ,ila nimeamua kufanya revenge kwa wanaume walionicha
Wa kwanza nilimtafuta nikamlilia sana nikampa na limbwata ,ndoa yake inapumulia oxygen amemfukuza mke wake anaplan tuishi wote Mimi hata sina mpango nae nakamilisha tu kisasi changu nimkimbie ,
Mwingine nimeshamseti...
Maswali kila Kona,utazaa lini? Beba mimba mwezi huu?
Kuzaa ni kudra za Mwenyezi Mungu,kila mwanamke anatamani kuwa na mtoto.ila mkiona mtu hajazaa jua muda wake Bado hata Sara wa ibrahimu alizaa na miaka tisini.msilazimishe watu kuzaa eti umri unaenda wakati kulea hamtaki.Gods time is the best...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.