Huu ni ujinga sana kama eameshauza huko mtaani na watumiaji waliodhurika watasaidikaje?
Tumezoea sasa haya madhirika kuja na matamko Yao mepesi tuu kama Wa TFDA kuhusu mafuta ya Ubuyu
Mnakuwa wapi siku zote?
Haya yenu huongelewa kwa Chuki baada kuto tolewa 10%?????
Kwanini hamfanyi...
Nakupa kisa cha ukweli
Mimi hali hii iliwahi kunitokea sikukubali ujinga wake lakini akawa anafanya makusudi kabisa
Anaenda kukutana Vijana wengine huko halafu akijua sasa muda kurudi nyumbani unakaribia ana nipigia simu Shem uko wapi? Nipo hapa barakuda unaweza kuja?
Naenda nikifika hapo...
Tupitishe sheria mpya ya kujiunga na Jeshi la Polisi
Yaani kila Mwombaji awe amemaliza kidato cha Sita na
Awe na Div||
Hii utatuwekea heshima kubwa kwa Taifa letu
Maana Mtu Msomi hawezi kufanya huu ujinga
Sishangai wanayofanya Polisi Leo maana kama
Alifail form four ndo akaenda huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.