Recent content by Dingirii

  1. Dingirii

    Mbinu: Kutusua interview utumishi wa umma - PSPR

    Pale nikusoma sana madesa mitihani yao imeshiba yani soma sana unatoboa mimi nashukuru Mungu nilifanya moja nakupata kazi ila nlisaidiwa sana umu jf kupata muongozo
  2. Dingirii

    Ushauri juu ya Masters ipi itanitoa

    Accounting and Finance
  3. Dingirii

    Nilikuwa najisajili Ajira Portal nimekuta hii kitu. Nini maana yake?

    Angalia kwenye screen shoot yako chini ya saa kuna vimstari vya ulalo bonyeza hapo ni menu itakuletea
  4. Dingirii

    Naomba kujua utaratibu katika hili la Utumishi na TANESCO

    Mbona mikoa mingine wamepokelewa mfano dodoma
  5. Dingirii

    Kwa namna gani naweza kuomba kazi kupitia website ya TANAPA?

    Ingia kwakutumia pc, simu inazingua kwel
  6. Dingirii

    Natafuta kazi yoyote halali

    Ndo Ndo ukue active
  7. Dingirii

    Natafuta tenda ya kufanya malipo kwenye kampuni binafsi, vikundi n.k kwa bei nafuu kabisa

    Degree ya uhasibu ndo kwanza nimemaliza mwaka huu pia nina diploma ya manunuzi na ugavi
  8. Dingirii

    Natafuta tenda ya kufanya malipo kwenye kampuni binafsi, vikundi n.k kwa bei nafuu kabisa

    All the best dada wangoja waje.. hila namimi naomba connection nipate kazi uko kwenye makampuni natanguliza shukran (samahani kwakutoka njee ya mada)
  9. Dingirii

    Waajiri muwe na huruma jamani

    Kumbe tupo wengi pole sana mkuu
Back
Top Bottom