Naomba kujua utaratibu katika hili la Utumishi na TANESCO

Martchaz chaz mart

Senior Member
Nov 22, 2016
177
93
Kwa waliopangwa vituo vya kazi kutoka Utumishi kwenda TANESCO utaratibu upoje maana mdogo wangu kaenda ku-report lakini amerudishwa ameambiwa mikataba yao bado haijafika vituo vyao vya kazi.

Hili lipoje wakuu? Kwa anajua aje hapa tushauriane tuweze kuwasaidia hawa wadogo zetu.
 
Kama kafika kituo alichopangiwa akaambiwa hivyo, basi aendelee kusubiri huko huko na awe anafuatilia mara kwa mara kujua kama mkataba umefika; hii itachukua hata mwezi.
 
Kwa waliopangwa vituo vya kazi kutoka Utumishi kwenda TANESCO utaratibu upoje maana mdogo wangu kaenda ku-report lakini amerudishwa ameambiwa mikataba yao bado haijafika vituo vyao vya kazi.

Hili lipoje wakuu? Kwa anajua aje hapa tushauriane tuweze kuwasaidia hawa wadogo zetu.

Kama huyu ndio wewe, hapa navuta picha tu huyo mdogo wako sijui atakuwaje aisee. Ahsante.

Screenshot_20191113-135742.png
 
Kwa waliopangwa vituo vya kazi kutoka Utumishi kwenda TANESCO utaratibu upoje maana mdogo wangu kaenda ku-report lakini amerudishwa ameambiwa mikataba yao bado haijafika vituo vyao vya kazi.

Hili lipoje wakuu? Kwa anajua aje hapa tushauriane tuweze kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Sema ndio wewe mwenyewe.
 
Tuliza wenge mzee wala sio mdogo wako ni wewe subiri mikataba inatoka MAKAO na Mshahara wa mwezi 12 lazima ule hata ukisaini mkataba tar 10 mwezi wa 12 as long as tu isipite tar 15 ila mikataba huchelewa na sio mkataba tu kuna mikoa hata Subsistence zinachelewa sana huku unalala guest ko jipange kwa lolote ila kazi umepata hilo halina shida kuwa na amani na mshahara wa mwezi 12 lazima uupige,Kila lakheri ndugu #FEEDER ikitoka ni noma sana mzee pori kwa pori hiyo na vile msimu wa masika huu hatari😀#Usisahau kujiunga na SACCOS Kwa maendeleo yako.
 
Tuliza wenge mzee wala sio mdogo wako ni wewe subiri mikataba inatoka MAKAO na Mshahara wa mwezi 12 lazima ule hata ukisaini mkataba tar 10 mwezi wa 12 as long as tu isipite tar 15 ila mikataba huchelewa na sio mkataba tu kuna mikoa hata Subsistence zinachelewa sana huku unalala guest ko jipange kwa lolote ila kazi umepata hilo halina shida kuwa na amani na mshahara wa mwezi 12 lazima uupige,Kila lakheri ndugu #FEEDER ikitoka ni noma sana mzee pori kwa pori hiyo na vile msimu wa masika huu hatari#Usisahau kujiunga na SACCOS Kwa maendeleo yako.
nmecheka sana mkuu itabidi tukatiane tako ase asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom