Recent content by ding'ano

  1. D

    Mikataba ya kazi za Mzee Majuto kupitiwa upya

    Drama. Hivi huyu waziri si alitaka hukumu ya yule kijana alielipa faini kwa kwa kosa la mtandao hukumu iangaliwe upya. Alifanikiwa? Wanakwepa tu wajibu wao. Wizara yenyewe bajeti ndogo sana.
  2. D

    Azam media group movie mnazorusha kwa lugha ya kiswahili ni mbaya mno

    We mshamba tu unadhani wote tunapenda korea movies. Angalia TBC.
  3. D

    Wakulima wadogo hali si shwari tena

    Hivi uwanja wa ndege si ndio mahitaji yenu wanachato? Tumieni uwanja kuulia wadudu
  4. D

    Balozi Jack Zoka kurejea, awaaga Canada; Magufuli kuamua mrithi wake nchi ya ‘Bombardier”

    Vipi changamoto za madaktari na afya alizimaliza?
  5. D

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Tanesco nyooooo shenzi kabisa
  6. D

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Jamani updates vipi? Jana umeme ulikata.
  7. D

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Numbisa jamani vipi?
  8. D

    Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

    Viwander vya awamu hii ndo hivyo made in kolomije. Ushamba. Pumbavu mtoa mada. Fanya kazi, sio kutumwa tumwa tu nakutafuta vyeo.
  9. D

    Jeneral wa Jeshi Congo ajiuzuli

    Kwani vyombo vya habari ni hivyo tu. Wao watakusanya watatatoa hata kesho kwa upana zaidi
  10. D

    Mtwara: Taharuki Tandahimba baada ya madai ya mtoto mchanga kutabiri mvua ya ajabu; wakesha wakinywa uji wa Muhogo

    Ukitaka kupima kiwango cha ujinga wa jamii yako na ubora wa elimu kwa watu ktk jamii yako basi angalia mwitikio ktk habari za uzushi na ujinga kama hizi. Huku mbagala ni balaa watu wanahaha kutafuta unga wa muhogo. Karne hii bado tunaamini ktk abracadabra
  11. D

    CCM watafuta diwani "msaliti" aliyewapa kura UKAWA

    Nakuunga mkono [emoji12]
Back
Top Bottom