Drama. Hivi huyu waziri si alitaka hukumu ya yule kijana alielipa faini kwa kwa kosa la mtandao hukumu iangaliwe upya. Alifanikiwa? Wanakwepa tu wajibu wao. Wizara yenyewe bajeti ndogo sana.
Ukitaka kupima kiwango cha ujinga wa jamii yako na ubora wa elimu kwa watu ktk jamii yako basi angalia mwitikio ktk habari za uzushi na ujinga kama hizi. Huku mbagala ni balaa watu wanahaha kutafuta unga wa muhogo. Karne hii bado tunaamini ktk abracadabra
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.