Jeneral John Tshibangu ameasi/amejiuzulu jeshi na kumpa Rais Joseph Kabila siku 45 awe ameachia madaraka na kuomba wananchi msamaha kwa kushindwa kuwaongoza
Hata hivyo bado haijafamika Jenerali John alikua ameshika nyadhifa gani kwenye jeshi la Congo
Je ni mapinduzi ya kisayansi yanaendelea
Jpili kanisani katoliki kimeitisha maandamano makubwa ya kupinga utawala wa Rais Joseph Kabila
Unganisha hayo matukio waweza ona utawala wa Kabila uko ukingoni
Hata hivyo bado haijafamika Jenerali John alikua ameshika nyadhifa gani kwenye jeshi la Congo
Je ni mapinduzi ya kisayansi yanaendelea
Jpili kanisani katoliki kimeitisha maandamano makubwa ya kupinga utawala wa Rais Joseph Kabila
Unganisha hayo matukio waweza ona utawala wa Kabila uko ukingoni