whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,426
Mzushi wa hili jambo lazima alikuwa na stock kubwa sana ya unga wa muhogo
Nimecheka sana hii habari,kuna mtu anataka kuuza dawa tu,ama huyo jamaa alikuwa na stock kubwa sasa wanatengeneza namna ya kuitoa. Kweli vyuma sio mchezo.
....maana taarifa ilikolea zaidi baada ya baadhi ya misikiti kuwatangazia kufanya hivyo wananchi wakati waki adhin sala ya alfajiri.....
Usiku huu watu wanasonga uji wa muhogo na kunywa.
Eti kuna mtu anasambaza taarifa kuwa kuna mtoto amezaliwa Nangadi Msumbiji na akasema kuwa kutakuwa na mvua kubwa itakayoambatana na upepo mkali ambao utaleta madhara na upele hivyo dawa yake ni kusonga uji wa muhogo na kunywa tena nje uani.
My take: Huu ni uzushi tena katika Uislamu ni Shirk juu ya uwezo wa Allah, aliyetengeneza uzushi huo anapaswa kukamatwa na kushtakiwa
Adi Tanzania mbagala zimefikaUkitaka kupima kiwango cha ujinga wa jamii yako na ubora wa elimu kwa watu ktk jamii yako basi angalia mwitikio ktk habari za uzushi na ujinga kama hizi. Huku mbagala ni balaa watu wanahaha kutafuta unga wa muhogo. Karne hii bado tunaamini ktk abracadabra