Recent content by Diksela

  1. Diksela

    Taja kitu kisicho na ukweli ila watu wengi wamekariri ni ukweli bila ushahidi

    Septemba 11, 2001 kulipuliwa kwa WTC ni ugaidi
  2. Diksela

    Mark Zuckerberg wa Facebook na Genius Kadungure “Ginimbi” walizaliwa 1984 na wote walikuwa matajiri

    Inapendeza sana kuna vijana wadogo wanapata mafanikio makubwa katika maisha, hawa ndio wanaishi maisha.
  3. Diksela

    Wimbo wa kizalendo wa Afrika

    Aaaeee Africa eee, eee Afrika eee oooo Lipanda (Aeeee Africa eee , eee Africa eee ooo Uhuru) Kokata koni pasi, soki na kati koteka pasi ( Kukata kuni ni kazi ngumu, ukishazikata kuziuza pia ni ngumu) Na pasi oyo ya boye ngai na bhana mawa nakoka te (Magumu haya, mimi na wanangu siwezi...
  4. Diksela

    Mbona namba "D" imekaa sana kwenye usajili wa namba za magari? Hutufiki tu "E"?

    Ni kwa sababu herufi I na O hazipo kwenye utaratibu kwasababu zinafanana na namba 1 au 0
  5. Diksela

    TANROADS andikeni majina ya vijiji kama wenyeji wanavoyatamka

    Mabiti badala ya Mbiti[emoji23]
  6. Diksela

    Wagombea wa Urais 2020 waingie JF kama verified members

    Simaanishi hivyo ila hapa ndani wapo great thinkers nimewashuhudia kabisa,hivyo mijadala hiyo ikija ni wazi GT watawapiga spana za kutosha. Sent from my TECNO LB8a using JamiiForums mobile app
  7. Diksela

    Wagombea wa Urais 2020 waingie JF kama verified members

    Wanasiasa wa Bongo hawapendi maswali kutoka kwa great thinkers, wanataka waulizwe na raia wenye uelewa mdogo ili iwe rahisi kuingiza siasa Sent from my TECNO LB8a using JamiiForums mobile app
  8. Diksela

    Napendekeza ugali dagaa kuwa chakula cha taifa

    Hii tunaita Dongo Dagaa
  9. Diksela

    Maisha yanaenda kasi sana jamani

    Ni kweli kabisa maisha yaenda kasi sana na umri unavyoongezeka akili inzidisha msongo unajikuta unapungukiwa hata uwezo wa kufikiri vizuri namna ya kufanikiwa.cha msingi ni kuachana na tabia ya kujilinganisha na watu na kujitahidi kusave hata katika kiasi kidogo unachojaaliwa kukipata.
  10. Diksela

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Garfield katuni pendwa
  11. Diksela

    Binti yangu kaniandikia hivi, mnisaidie cha kumjibu

    Kidato cha sita? Mzoefu huyo!
  12. Diksela

    Nina 80,000/Tshillings sina wazo,je nifanye biashara gani

    Nenda machinjioni langua mikia ya ng'ombe na ukauze kwa wapika supu kwenye baa jirani na ulipo inalipa!
  13. Diksela

    michapio iliyonivunja mbavu nawe weka yako tucheke

    Umemwaga kuku kwenye mchele wengi
  14. Diksela

    KOMENTI KWA LUGHA YA KWENYE DALADALA

    "Dah Leo tuna Viwashell kibaaaaao" hapo konda anamwambia dereva abiria wako na watoto wengi waliojaza nafasi.
Back
Top Bottom