Kilawakati
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 328
- 285
Ikisimama Panda
Rw3Ahahaha we mwenyewe wa stend alaf unauliza ivo kwann tusipande na zpo kwa ajili ya watu ambao n sisi
hii mpya"Dah Leo tuna Viwashell kibaaaaao" hapo konda anamwambia dereva abiria wako na watoto wengi waliojaza nafasi.