Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Wanajamvi,
Nawaza wagombea urais wa mwaka huu waingie humu kama verified members ili kuongea na wananchi kupigwa maswali, kujibu hoja kila inapowezekana.
Members watatakiwa kuwa na staha ya kuuliza, sio kwa sababu ya ID Fake ukakurupuka na mijitusi isiyo na msingi.
Tuwe na muda walau mara moja kwa wiki kwa wagombea hao kukaa kikaangoni kuelezea maswala tofauti tofauti na wajibu maswali ya wananchi.
Nadhani ni njia nzuri kutokana na tishio la Corona tukianza kukusanyika inakuwa sio, so tuweke mbele matumizi ya TEHAMA.
Pia ni rahisi kwa wananchi kuuliza hata maswali yenye ukakasi bila kuwa na hofu.
Tuwe tunapewa ratiba ya siku ambayo mheshimiwa atakuwa live, then tuseme naye, baada ya muda uzi husika ufungwe ili mtu asije changia jitusi.
Hili ni kama wazo, ni kama ombi kwa sababu zifuatazo:
1. Mtu anakuwa huru kuuliza akiwa na ID isiyojulikana
2. Kutokana na tishio la Corona tukianza kukusanyika kuwasikiliza tutahatarisha maisha ya wengi
Ni mawazo tu
Nawaza wagombea urais wa mwaka huu waingie humu kama verified members ili kuongea na wananchi kupigwa maswali, kujibu hoja kila inapowezekana.
Members watatakiwa kuwa na staha ya kuuliza, sio kwa sababu ya ID Fake ukakurupuka na mijitusi isiyo na msingi.
Tuwe na muda walau mara moja kwa wiki kwa wagombea hao kukaa kikaangoni kuelezea maswala tofauti tofauti na wajibu maswali ya wananchi.
Nadhani ni njia nzuri kutokana na tishio la Corona tukianza kukusanyika inakuwa sio, so tuweke mbele matumizi ya TEHAMA.
Pia ni rahisi kwa wananchi kuuliza hata maswali yenye ukakasi bila kuwa na hofu.
Tuwe tunapewa ratiba ya siku ambayo mheshimiwa atakuwa live, then tuseme naye, baada ya muda uzi husika ufungwe ili mtu asije changia jitusi.
Hili ni kama wazo, ni kama ombi kwa sababu zifuatazo:
1. Mtu anakuwa huru kuuliza akiwa na ID isiyojulikana
2. Kutokana na tishio la Corona tukianza kukusanyika kuwasikiliza tutahatarisha maisha ya wengi
Ni mawazo tu