Nimewachoka hawa Azam na silipii hicho kingamuzi chao tena!!!
Wangeongezea channels za movie na documentaries kufidia zile local channels walizofungiwa lakini wao wanatujazia machannel za kiganda.
Safi sana.
Mi bado niko pilot phase katika ufugaji wa kambale. Uhalisia wa mambo mengine ni tofauti kabisa na mambo niliyopata kwa watalaam au kusoma kwenye vitabu. Nimejikuta pia nikifanya makosa madogo madogo katika vitu vya msingi kama iana ya chakula, water quality,..... ambayo unahitaji...
Ni vizuri kutembelea hao SUMA JKT na wakulima wengine na kufanya research na kubaini yafuatao:
Uwepo wa soko la uhakika wa aina ya samaki utakaofuga (kwa maeneo ya Dar- sato au kambale. Salmon wanafanya vizuri maeneo ya baridi)
Aina ya mabwawa (ya kuchimba au ya kujengea)
Upatikanaji wa mbegu...
Huenda sijakuelewa vizuri ila katika kutanguliza matatizo yanayomkumba Diamond kwenye thread ya mafanikio ya Kiba kumetoa taswira kana kwamba Diamond anampisha Kiba, na ndo nikasema mafanikio yao sio 'mutually exclusive'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.