- Thread starter
- #41
Kaka nashukuru sana kwa msaada wako. Nitampigia haraka ili nimsikilize kaka.0752902084 mtafute huyu bwana mdogo atakusaidia mkuu
Kaka nashukuru sana kwa msaada wako. Nitampigia haraka ili nimsikilize kaka.0752902084 mtafute huyu bwana mdogo atakusaidia mkuu
Unajua upatikanaji wa vibali vya kufuga kwa system unavyosumbua.....??Ndiyo mkuu,.
Yeah anaitwa Mr Riverson.....Kaka nashukuru sana kwa msaada wako. Nitampigia haraka ili nimsikilize kaka.
Nyumba mbona pesa (15M) haitoshi kaka...., acha nipambane uwenda ikaongezeka mkuu kisha nitajenga au hata kununua.Wewe Tumbiiiiriiiii ni bora ujenge nyumba
Nimiokota...Mkuu mbona wanasema vyuma vimekaza huko!hiyo 10milioni umetoa wapi?
Kaka ubalikiwe sana kwa maelekezo yako mkuu...., nashukuru sana. Nami nahisi Suma JKT lazima niwatebembelee kisha niwatembelee wafungaji wawili watatu wa kawaida tu wa njia tofauti tofauti...., then baada ya hapo ndio nianze kidogo as pilot project ambayo itaruhusu makosa, then kila ninavyo expand ndio napunguza makosa uku project inakuwa.Ni vizuri kutembelea hao SUMA JKT na wakulima wengine na kufanya research na kubaini yafuatao:
Anzia kiwango kidogo kwani bado huna uzoevu katika ufugaji wa samaki kwani kila biashara haikosi changamoto zake. Hii itakukupatia fursa ya kusoma practically na kufanya marakesho yatakayoibuka bila kuingia hasara kubwa.
- Uwepo wa soko la uhakika wa aina ya samaki utakofuga (kwa maeneo ya Dar- sato au kambale. Salmon wanafanya vizuri maeneo ya baridi)
- Aina ya mabwawa (ya kuchimba au ya kujengea)
- Upatikanaji wa mbegu bora
Kwa uzoefu wangu mdogo hauhitaji mtaji mkubwa sana katika hii phase ya kuanzia, ila katika phase ya pili- expansion ambayo utaifikia baada ya kipindi kama cha mwaka mmoja.
Sidhani kama kuna shida hivyo kwenye upatikanaji wa vibali,...muhimu ni kufuata taratibu zake,.Unajua upatikanaji wa vibali vya kufuga kwa system unavyosumbua.....??
Anyway ndio system ya ufugaji ninayoikubali sana ukiachana na hizi system za kawaida...
Safi sana.Kaka ubalikiwe sana kwa maelekezo yako mkuu...., nashukuru sana. Nami nahisi Suma JKT lazima niwatebembelee kisha niwatembelee wafungaji wawili watatu wa kawaida tu wa njia tofauti tofauti...., then baada ya hapo ndio nianze kidogo as pilot project ambayo itaruhusu makosa, then kila ninavyo expand ndio napunguza makosa uku project inakuwa.
Karibu sana ndugu.DrLove69 you make my day bro......, hii ndio faida ya kuomba msaada umu na kakutana na watu manguli na walio serious.
Mkuu kama una contact ya Suma JKT Ruvu naomba mkuu ili niwasiliane nao mapema na wanipangie siku nikawatembelee. With 3M I can start with two tanks as a pilot project.... , uku nikihifadhi 9M yangu kama back up.
Nadhani kwenye matenki ni good idea kaka....., sio siri issue ya kuchimba mabwawa na kuanza kuangalia aina ya udongo ilikuwa inanipa sana headache...., kwani kwa uelewa wangu mdogo biashara nyingi kwenye nchi zetu masikini hizi huwa zinakufa kutokana na poor management. Sasa kitu kikishakuwa complex kidogo na uvivu wetu huu huwa kinakufa.
Kaka kama una contact zao naziomba hapa, au kama hauna naomba unielekeze vizuri ili niweze kuwazukia mimi mwenyewe nakaonane nao face to face.
Mkuu umeelezea vizuri sana, naomba unisave na hizo contacts za SUMA tafadhali.Karibu sana ndugu.
Nimekutumia contacts zao. Natumaini utapata muafaka na kuleta mrejesho hapa.
NB: Matenki yanakuwa matano (1000 ltrs) per system na sio moja.
Nakutakia kila la kheri mkuu.
Peleka upuuzi wako kwenye jukwaa la udaku tafadhali. Sijaja hapa kubishana, nimekuja kutoa msaada kwa mujibu wa utu na kumpa uelekeo mleta mada.Hiyo yote haijalishi issue ni kufuata vigezo na mashariti iwe ni bwawa la kawaida,Tanks,Cage faida unapata tu.
Haiji akilini unataka kufanya aqua-ponics na hata hela ya kununua water pump huna.
Mimi naamini katika utaalam kwani ukubwa wa bwawa hutoa mazao mengi.Peleka upuuzi wako kwenye jukwaa la udaku tafadhali. Sijaja hapa kubishana, nimekuja kutoa msaada kwa mujibu wa utu na kumpa uelekeo mleta mada.
Huna hata uelewa wa nini unachozungumzia. Pathetic!
watembelee banda lao la JKT mwezi ujao pale katika maonyesho ya Sabasaba ; watakupatia mashine pamoja na tank kwa 4mil hadi 6mil kulingana na ukubwa Wa mashine utakayochagua,Tatizo mpaka sasa nina eneo na pesa hata bwawa bado sijachimba na wala sina utaalam wowote.
Kwanza nataka jua kwa mtaji huo wa 10M + 5M unatosha kuanzisha biashara hiyo from scratch, kwani eneo ninalo tayari.
Pili nataka nijue nini natakiwa kufanya?, kama kuna consultant wa kumuona etc.
Kwakifupi naomba ushauri jinsi ya kuifanya hiyo biashara kwa mtu mwenye mtaji huo, na eneo from scratch.
Ndio umeandika nini sasa hapa!? Katika ulimwengu wa leo bado unaamini ukubwa wa eneo ndio ukubwa wa output ya mazao!? Hakika huna unalojua.Mimi naamini katika utaalam kwani ukubwa wa bwawa hutoa mazao mengi.
Hebu chukua case study ya Egyp na ufugaji wa mabwawa unakuta mtu ana bwawa la 1ha. Ila ndio hivyo ukimkimbiza kichaa na wewe inabidi upimwe akili.