SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,757
Unajua Trump analipwa 1usd/monthkwanza hamna raisi duniani analipwa 10M
Unajua Trump analipwa 1usd/monthkwanza hamna raisi duniani analipwa 10M
Wee unafikiri ndungai ni fala ripoti.ya bunge kumkabidhi rais?..anaogopa majaliwa atawajibika kama alivowajibika lowasa.inshort kila kamati itakayoundwa lazima itatikisa mawaziri maana ndo walewale mwaka juzi na mwaka wanachobadilika ni wizara tu ila aliyekoraga kwenye madini anapelekwa kwenye utalii..ndungai sio mjinga nyie.umeona kina chenge bado wapo.kwenye madini walikuwepo na kwwnye ripoti hii bado yupo na bahati mbaya mmenda kuchunguza uvuvi ambayo magufuli alaishwahi kuwa waziri huko hahahaha nacheka lakini yajayo yanasikitisha.huenda kamati imebaini uwozo wa magufuli ikashauri ripoti apewe yeye mazima.kwa huyu jamaa Wa 97mil, maana yake kila (a) Sekunde 112.26Tsh (b) 6736.11Tsh kila dk (c). saa 404,166.6Tsh (4k) (d) day 3,233,333.33Tsh (Massa ya kazi (3mil) (e) week 22,633,333.33Tsh (f) monthly 97,000,000 Tsh.
Hapo ni nje ya marupu rupu na allowance zingine kama nyumba, Gari, mafuta, Umeme
Kwa maana nyingine huyu anauwezo Wa kujenga nyumba kubwa yenye kila kitu kila mwezi,
mtu huyo pia kama hiyo 97mil atalipwa kwa noti za elf 2, basi Pesa zake zinajaa kwenye Noah, na kama atalipwa kwa noti ya elf moja basi atatakiwa zijae kwenye Coaster!!!
Kunywa na kula chochote bill nalipa,hata kitimoto kula bill ije kwangu!Kwani shida iko wp? acheni ale tu! mbona waliopiga 1.5 tri hawasemwi? mbona waliopiga escrow, epa, na mengineyo wanadunda tu..kila mtu ajilie kwa kadri anavyoweza maana imeshakuwa tabia ya nchi yetu!
Ukweli upo kwenye vitabu vya Mungu tu, hizo abari za tramp just babaisha tuUnajua Trump analipwa 1usd/month
Pan African Energy sio kampuni ya serikali, ni wawekezaji.Kamati Maalum ya Uchaguzi wa gesi iliyoundwa na Spika Job Ndugai, mwishoni mwa mwaka jana, imewasilisha ripoti yake jana na katika mambo iliyobaini ni mmoja wa watumishi wa Kampuni ya PanAfrican Energy kulipwa mshahara wa sh.. Milioni 96, ambao ni mara 10 ya mshahara wa Rais John Magufuli ambao ni sh. milioni 9.5 kwa mwezi.
Chanzo: NIPASHE
Hasa ukiweza kuchunga ng'ombeYaani Watanzania tushaonekana wajingawajinga kwahiyo wanatuletea sinema kila siku kusogeza siku mbele huku wanaendelea kutupiga.
Yaani kuwaongoza Watanzania rahisi sana.
Labda posho ya kugawia watu barabaranikwanza hamna raisi duniani analipwa 10M
Kwa kanuni za kuishi kishetani ni kosa kubwa sana na adhabu yake ni kutumbuliwa hadharani,utakiwi kumzidi.Kwani kumzidi Raisi kipato ni kosa?
Ndo maana wanaangaika na MTU kumiliki vigari vidogo 19 ambavo havifikii hata thamani ya v8 ya bashite.Pan African Energy sio kampuni ya serikali, ni wawekezaji.
CCM umasikini unewajaa, mnataka watu wote wawe China mbaya kama nyie
Asilipwe kabisa maana ni uzalendoMlitaka alipwe shingapi