Recent content by Digital Ticha

  1. D

    Kodi za TPA 2026 chini ya DP World

    Weka na gharama zake kila moja
  2. D

    Naweza vipi kurudi kwenye utumishi wa umma iwapo niliacha mwenyewe kazi?

    Huyu katibu mkuu kiongozi ofisi yake ipo Dar au Dodoma?
  3. D

    Naweza vipi kurudi kwenye utumishi wa umma iwapo niliacha mwenyewe kazi?

    Nikiacha kazi mwaka 2015 kutokana na sababu za kiafya na nikapokea mpaka mafao yangu ya PSPF. Lakini sasa nimekuwa fit na naweza kufanya kazi kama kawaida. Nilijaribu kuandika barua utumishi kuomba kurudi maana nilikuwa nikiomba kazi naambiwa nina check namba hivyo siwezi ajiriwa na mimi...
  4. D

    Hizi taasisi zipo wizara gani?

    Thanks, ngoja niverify naona kama upo sahihi zaidi.
  5. D

    Hizi taasisi zipo wizara gani?

    Wakuu RRONDO na jiwe angavu nawashukuru sana. Toka asubuhi natafuta hii information lakini mmenisaidia kwa dakika chache tu.
  6. D

    Hizi taasisi zipo wizara gani?

    Nimeingia sijaona, ndio maana nimekuja uliza hapa.
  7. D

    Hizi taasisi zipo wizara gani?

    Naomba mnisaidie kufahamu hizi taasisi zipo chini ya wizara gani? 1. BRT - barabara ya mwendokasi 2. SGR 3. MGR 4. Bomba la mafuta kupeleka nje ya nchi au nje ya DSM 5. Miundombinu ya reli 6. Barabara kubwa za DSM mfano Morogoro road, Mandela road
  8. D

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Hakuna SSG ambayo haitumiki.. kuna SSG zaidi ya sita na zote zinafanya operation saa 24.
  9. D

    Madereva wa Bolt waandamana kwenye ofisi za kampuni hiyo kupinga ongezeko la ofa wanazopata wateja

    Hawa top up wanakata kwenye marejesho yao ya mwezi. Kwa hiyo mfano leo umeamka na abiria wa ofa sehemu ya elfu 10 wanatoa elfu 3. Ukipata wateja watano unatengeza elfu 15 badala ya 50. Hapo unatakiwa uweke wese alisubiri mwisho wa mwezi hapo kuna service kumbuka mteja akiondoka na kitasa...
  10. D

    Madereva wa Bolt waandamana kwenye ofisi za kampuni hiyo kupinga ongezeko la ofa wanazopata wateja

    Biashara ndio maana zina regulators ambao ni serikali. Usiwe mjinga kiasi hiki
  11. D

    Hakuna msanii yeyote aliyekwenda kumzika mama wa H baba wala kumpa pole, inafikirisha sana

    Kuna ndugu zangu waliwai nitishia hawatakuja kwenye misiba yetu kisa tuligombana. Mie ndio nikaanzisha misiba yao siendi nasubiri wasipokuja kwenye misiba ya kwetu au watu wakiwa wachochezi marehemu hatozikwa!!???
Back
Top Bottom