Recent content by Digital Ticha

  1. D

    JamiiForums Tanzania Diamond: Mali zangu zinatambulika kwa jina la Mama Dangote

    Anaweza kutangulia kufa Diamond
  2. D

    JamiiForums Tanzania Diamond: Mali zangu zinatambulika kwa jina la Mama Dangote

    Ubaya wa kuandika jina mama kwenye mali zako siku ukifa watoto wako hizo mali labda ifanyike hisani Kinyume na hapo kaka na dada zako watazitafuna watoto zako wakitaabika
  3. D

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda ndiye ameamua kumchagua Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania?

    Hivi RC anaweza kuwa rais wa IOC pia? Huko hakuna sheria kama za FIFA kutochanganya siasa na sports?
  4. D

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uwekezaji bandari ya Dar es salaam umeongeza idadi ya mizigo maradufu

    Hauna unachokijua kuhusu mambo serious kama port operations. Endelea kuimba mapambio ndio level yako ya IQ.
  5. D

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uwekezaji bandari ya Dar es salaam umeongeza idadi ya mizigo maradufu

    Sawa, basi tueleze wewe ni uwekezaji gani umefanyika?
  6. D

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uwekezaji bandari ya Dar es salaam umeongeza idadi ya mizigo maradufu

    Sawa, ila jibu swali langu wamewekeza nini?
  7. D

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uwekezaji bandari ya Dar es salaam umeongeza idadi ya mizigo maradufu

    Nitajie ujuzi mmoja ambao wameuleta
  8. D

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uwekezaji bandari ya Dar es salaam umeongeza idadi ya mizigo maradufu

    Kwani DP World na Adani wamewekeza nini tangu wafike?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    Duh maridhiano mara hii 😳😳
  10. D

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga 3-0 JKT Tanzania | Ligi Kuu NBC | 30.06.2026 Yanga Bingwa kwa mara 5 mfululizo

    Sare yanga atazidiwa point moja
  11. D

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uwekezaji bandari ya Dar es salaam umeongeza idadi ya mizigo maradufu

    Heche yupo sahihi hakuna uwekezaji wowote uliofanywa bandarini wamekuja kuvuna tu wasichopanda
  12. D

    JamiiForums Tanzania Ni chuo gani hapa Tanzania naweza kusoma course ya National Examination Board in Occupational Safety and Health (NEBOSH)?

    Inategemea na kampuni, hizi kampuni kubwa kubwa kuanzia mil 5 -9
  13. D

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Viongozi wa Chadema walio baki nje hawafikii hata nusu ya Lissu

    Mpambanaji gani alioama chama? Yericko? Salum Mwalimu?
Back
Top Bottom