Nikiacha kazi mwaka 2015 kutokana na sababu za kiafya na nikapokea mpaka mafao yangu ya PSPF.
Lakini sasa nimekuwa fit na naweza kufanya kazi kama kawaida.
Nilijaribu kuandika barua utumishi kuomba kurudi maana nilikuwa nikiomba kazi naambiwa nina check namba hivyo siwezi ajiriwa na mimi...
Naomba mnisaidie kufahamu hizi taasisi zipo chini ya wizara gani?
1. BRT - barabara ya mwendokasi
2. SGR
3. MGR
4. Bomba la mafuta kupeleka nje ya nchi au nje ya DSM
5. Miundombinu ya reli
6. Barabara kubwa za DSM mfano Morogoro road, Mandela road
Hawa top up wanakata kwenye marejesho yao ya mwezi.
Kwa hiyo mfano leo umeamka na abiria wa ofa sehemu ya elfu 10 wanatoa elfu 3. Ukipata wateja watano unatengeza elfu 15 badala ya 50. Hapo unatakiwa uweke wese alisubiri mwisho wa mwezi hapo kuna service kumbuka mteja akiondoka na kitasa...
Kuna ndugu zangu waliwai nitishia hawatakuja kwenye misiba yetu kisa tuligombana. Mie ndio nikaanzisha misiba yao siendi nasubiri wasipokuja kwenye misiba ya kwetu au watu wakiwa wachochezi marehemu hatozikwa!!???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.