Ni mwanamke mtu mzima 43 years.
Alipata miscarriage 3.
Akawa hapati tena ujauzito.
Sasa amepata tena ila dalili sio njema.
Kuna vipunje vya damu ameviona akijisaidia kama mara mbili.
Gino anasema yupo sawa mimba bado ipo akampa madawa ya kunywa ya kubalansi homoni.
Lakini mimi nina mashaka...
Wakuu, naomba msaada wa ushauri na connection za laptop nzuri yenye specs za kufanya kazi nzito kidogo kama programming, video editing, gaming, 3D rendering na data analysis.
Napendelea zaidi brand za Dell au HP, zikikosekana naweza pia kuangalia Lenovo. Sina sababu ya kitaalamu sana kuchagua...
Chadema kwa sasa inahitaji manpower ya kutosha. Kuiondoa CCM kunahitaji nguvu kubwa ya kiuongozi ya wanasiasa. Kwa sasa chadema kumejaa wanaharakati wa mitandaoni of course wana mchango mkubwa ila kuna muda wanakuwa not realistic na kinachoendelea field.
Mimi naamini ipo siku kila aliyehusika na tukio la kuua raia wasio na hatia October 29, atapata hukumu yake kabla ajafariki. Hizi danadana za tume sijui nini ni kuchelewesha wakati tu ila kiuhalisia kuna siku watu wakubwa kwenye hii nchi watafungwa kama wauaji wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.