Recent content by Digital Ticha

  1. D

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Ndio mimi ni kibenten chake. At least that’s where your ability to think ended.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Asante sana Dr. Vipi hiyo hali ya kutoka viuchafu vyenye damu ni dalili za miscarriage au ni nini??
  3. D

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Hospital anakweda kubwa maana ana bima kubwa ya afya.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Ana changamoto ya hormone imbalance.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Ni mwanamke mtu mzima 43 years. Alipata miscarriage 3. Akawa hapati tena ujauzito. Sasa amepata tena ila dalili sio njema. Kuna vipunje vya damu ameviona akijisaidia kama mara mbili. Gino anasema yupo sawa mimba bado ipo akampa madawa ya kunywa ya kubalansi homoni. Lakini mimi nina mashaka...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba recommendation ya model nzuri ya laptop ya mtumba ndani ya 800K–1M

    Model zipi ni rahisi kupata madukani itayonifaa?
  7. D

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba recommendation ya model nzuri ya laptop ya mtumba ndani ya 800K–1M

    Wakuu, naomba msaada wa ushauri na connection za laptop nzuri yenye specs za kufanya kazi nzito kidogo kama programming, video editing, gaming, 3D rendering na data analysis. Napendelea zaidi brand za Dell au HP, zikikosekana naweza pia kuangalia Lenovo. Sina sababu ya kitaalamu sana kuchagua...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Lamar Fishcrab auliza swali moja tu Kuhoji ubora wa S2Kizzy Kamtoa msanii gani undergeround?

    Topic ni hajawai mtoa msanii underground akawa staa. Kama yupo mtaje.
  9. D

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwe makini na hawa vibaraka wa CCM wanaojirudisha kundini. Wataharibu sifa ya kuwa chama cha ukombozi

    Lissu alipoonana na Samia kule Ubeligiji cha kwanza aliomba hela zake alizikuwa anaidai serikali pamoja na passport yake. Ya wananchi yalikuwa second.
  10. D

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwe makini na hawa vibaraka wa CCM wanaojirudisha kundini. Wataharibu sifa ya kuwa chama cha ukombozi

    Hakuna mwanasiasa asiyejali tumbo na pesa. Wewe tazama kama lengo litatimia au not.
  11. D

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwe makini na hawa vibaraka wa CCM wanaojirudisha kundini. Wataharibu sifa ya kuwa chama cha ukombozi

    Chadema kwa sasa inahitaji manpower ya kutosha. Kuiondoa CCM kunahitaji nguvu kubwa ya kiuongozi ya wanasiasa. Kwa sasa chadema kumejaa wanaharakati wa mitandaoni of course wana mchango mkubwa ila kuna muda wanakuwa not realistic na kinachoendelea field.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Jaji Chande ni hatua moja mbele, Imepooza Tu, Haijakata Kiu!. Kazi Bado Ipo!, Tunyamaze Tuu na Kusubiria, au Tuseme Kitu na Tufanye Kitu?

    Mimi naamini ipo siku kila aliyehusika na tukio la kuua raia wasio na hatia October 29, atapata hukumu yake kabla ajafariki. Hizi danadana za tume sijui nini ni kuchelewesha wakati tu ila kiuhalisia kuna siku watu wakubwa kwenye hii nchi watafungwa kama wauaji wengine.
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kodi za TPA 2026 chini ya DP World

    Weka na gharama zake kila moja
Back
Top Bottom