Haya mambo yana kua kwa kasi sana nje na ndani ya ndoa. Wengi wanafanya na ni siri kubwa sana kwao hasa kwa wanandoa.
Naona kwenye hii mada wote wanao comment wanajifanya hawapendi kabisa huo mchezo 😂😂 ila huko sirini kwenu mnajua mnchokifanya.
Cha msingi amkazie tu jamaa, asihofu ndoa...
Huu uzi sijausoma, ila naungana na Chalamila. Mimba nyingi haziji bahati mbaya. Na hata zikija bahati mbaya, kitendo cha kuiacha ikue inamaana ni sahihi unahitaji mtoto.
Sasa kwa miezi yote tisa unasubiri kujifungua, huwezi ukaikusanya hiyo 50,000 wewe na mumeo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.