Kuruhusu wafanyakazi kujitoa kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Wafanyakazi wa maeneo mbalimbali nchini, na hasa migodini, walipiga kelele wakipinga uamuzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kuzuia fao la kujitoa. Wananchi wengi sana tulikubaliana na hasira zao hasa...
shule nyingi zimekuwa ni dili zipo tu kwa kujipatia maslahi, na hazina malezi bora, mwanzoni mi nilijua ni kwa watoto wa shule za bweni lakini hata kwa wanafunzi wa kutwa nako ni shida, niwaombe wenye shule wasiangalie maslahi tu lakini pia wawe ni wazazi wa pili kwa watoto wetu
mzee kila mtu amejaliwa sehemu yake ya kupatia riziki, inawezekana huendi huko kwa sababu unasehemu yako nyingine ya kukupatia riziki, inawezekana hata wewe hiyo sehemu yako ya kupatia riziki inayoiona kwako ni salama siku moja ikaja kuwa majanga tu, kwa hiyo tengua kauli yako
sioni kama kulikuwa na sababu ya kumpiga huyo mwalimu, na hii yote ni ubabe walionao hao jamaa wanaojiita takukuru angekuwa ni kamanda wa zamu (jw) angethubutu kumpiga, hebu tubadilike tusiishi kwa kudharauliana.
hawa jamaa naona wanafanya masihala na pesa za watu, kwanza hela zetu wanakaa nazo kwa muda mrefu, wanazifanyia biashara, wanapata faida kubwa sana kutokana na hizo hela zetu halafu leo tunawekewa masharti, kwa kweli mi hapo sijaelewa na sitoelewa mi nachokitaka ni mkwanja wangu wote
hata hivyo vyuo kwa sasa havina ubora hata fedha za kuendeshea ni tatizo, kwa hiyo hata huyo aliyemteua na yeye atachemka tu, suluhisho ni kuvifufua na kuvirudisha katika ubora wake kama ilivyokuwa mwanzo, kwani vimekuwa vikitegemea misaada kutoka kwa wahisani badala ya serikali
kwani katika hali hiyo ya uchangudoa uliwahi kufanya kinyume na maumbile, kama sivyo kwa nini usimuweke wazi kwani hakuna mtu ambaye anaweza akaoa mwanamke ambaye hajawahi kukutenda tendo la ndoa, japo kuwa wewe mazingira ilikuwa ni tofauti, hivyo la msingi wewe mwambie ukweli isije siku moja...
mahakama ni mhimili mkuu sana katika nchi yoyote ile duniani, sasa kama inafikia nayo inaanza kuingiliwa tujue moja kwa moja hakutakuwa na haki kwa na hasa kwa wanyonge ambao ndio tulio wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.