Kitendo cha huyu kijana ambaye ni mbunge wa Bumbuli kutangaza nia ya kugombea ukuu wa kaya hapa nchini kumewafanya wakongwe katika CCM kuwa na mashaka na kijana huyu ambaye anaonekana ana uwezo mkubwa wa kushawishi makundi mbalimbali na kumkubali kwa uwezo ambao anao wazee ndani ya chama...
Mheshimiwa edward lowasa ndo anafaa kuwa rais ajaye wa tz kutokana na sifa alizonazo kwanza mvumilivu,sio fisadi,mpenda maendeleo,sio mbinafsi pia ni mzoefu katika masuala ya uongozi huyu ndo rais anaefaa tz ya leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.