Mimi amenixaidia xana nilikuwa na tatizo la kuziba mirij ya uzazi akanifanyia kixomo na xaxa nina ujauzito. But kila nikijarib kutk kuonana naye nakwama.
Habari wanajukwaa.
Mara nyingi naona watu wakivaa pete za vito vya thamani kubwa. Nashindwa kuelewa ni urembo au ni nini. Mara nyingi hizo pete wanavaa kwenye vidole vya mkono wa kulia.
Nawasilisha.
Wasalaam,
Wanajukwaa naomba kujua utaratibu wa kulipia ticket ya ndege kabla ya safari ikoje kwa shirika la ndege la fastjet. Nataka kusafiri mwezi wa3 kutoka Arusha kwenda Dar, pia bei za ticket 2016 zikoje?
Jamani kwa anayefahamu gharama ya vipimo vya utrasound kwenye hospitali za serikali anifahamishe.
Nina tatizo la mirija ya uzazi kuziba. Je! tatizo hilo atibabu yake ili kuzibua mirija ni lazima kufanyiwa upasuaji??
Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongozaa kila mwanamke? Unakuta anakutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakini bado anang'ang'ania kukutongoza.
Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.