Recent content by Dhahir

  1. D

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye jingles za RTD&RADIO ONE naziomba
  2. D

    Msanii Dude kurudi na Bongo Dar es salaam kwa kishindo

    Nadhani kipindi kinarushwa Jumanne saa 3 usiku. Kuna episodes zao zipo YouTube, naona mwanzo mzuri wanafanya vizuri.
  3. D

    Unawakumbuka hawa enzi za "michezo" ya kwenye runinga?

    Kama inawezekana ITV wangetuuzia hizo CD za maigizo ya zamani.
  4. D

    Jinsi ya kujiunga na Bima ya afya kwa mtu asiyekua mwajiriwa sehemu yeyote

    Wewe na wategemez kama wanne. Mke/mume na watoto chin ya umr miaka 18. Wazaz hawajumuishwi kama wategemez.
  5. D

    Bongo Fleva ya zamani tulikuwa tunapewa story.. siku hizi tunapewa nini?

    Wimbo ninao ila sijui jinsi ya ku upload
  6. D

    Yu wapi mwanahabari Ufo Saro aliyepata kufanya kazi ITV?

    King'amuzi cha antena chaneli namba 124
  7. D

    Yu wapi mwanahabari Ufo Saro aliyepata kufanya kazi ITV?

    Sasa hivi anafanyia kazi DIRA TV ipo kwenye king'amuzi cha startimes, saa1 jion/usiku huwa anaripot habari.
  8. D

    Msaada kuhusu job termination

    Kama mkataba ni wa mwaka mmoja na unaishia tarehe 31 December, mkataba unasema mwisho wa mwaka unaweza ukarenew. Je, mwajiri anatakiwa akujulishe lini kwamba hataendelea na wewe kwa mwaka utaofuata? Je kama amechelewa kukujulisha kwamba hatakuwa na wewe kwa mwaka unaofuata tena bila kosa lolote...
  9. D

    Nahitaji PS2 Kwa Haraka

    Hiyo bei iko chin sana, kwa bei hiyo utapata mashine bila flash&pads
  10. D

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba wimbo wa John Walker-Sofia
  11. D

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Utanikumbuka wa super danger ft banza stone upo you tube
  12. D

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo ninao ila sijui jinsi ya ku upload
Back
Top Bottom