Jinsi ya kujiunga na Bima ya afya kwa mtu asiyekua mwajiriwa sehemu yeyote

Njia rahisi ni kuwa mwanachama wa hiyari wa PSPF, then PSPF wanatoa benefits kwa memba wao kuhusu NHIF. Memba wao wanachangia 76800 kwa mwaka kwa mtu mmoja katika bima ya NHIF.
 
Jamani kama mimi binafsi ndio naihitaji, sio na familia wala yoyote nataka mimi kama mimi pia ni laki9?
 
hii serikali ovyo sana yani kukosa ajira ndo iwe kigezo cha kukupiga pesa nyingi hivyo afu wanasisitiza tujiajiri sa si bora afanye 50 kwa 50 kwa wote
 
Mwenye jibu la uhakika tafadhali kuna mtu pia kaniomba nimuulizie hili swala.
Mkuu ngoja niwasaidie, fanya hvi jiunge na mfuko wa kijamii, mfano mimi nilijiunga na nssf, ukishajiunga masharti yao uwe na uwezo wa kuweka elfu 20 kila mwezi, 20 hyo ni akiba yko, then baada ya miezi mitatu tangu kujiunga utapewa form za matibabu za kujaza na kuchagua Hospital moja kati ya list ya hospital watakazokupa ktk wilaya yako, private na public, ukishachagua utasubiri kwa mda wa mwezi mmoja form zako zikishawasili kwenye Hospital uliyochagua then utakuwa unapata matibabu hapo kwa kulipiwa bure na nssf kila utakapoenda,.. Ukitaka nikukonect zaidi 0752399070
 
Vipi kuhusu kujiunga Bima ya Afya ya Taifa kupitia utaratibu huu...
1/Mifuko ya Penseni kama PPF.
2/Kwa kutumia vikundi.

Kwa wenye kujua namna na gharama zake wafunguke hapa.
 
Mkuu ngoja niwasaidie, fanya hvi jiunge na mfuko wa kijamii, mfano mimi nilijiunga na nssf, ukishajiunga masharti yao uwe na uwezo wa kuweka elfu 20 kila mwezi, 20 hyo ni akiba yko, then baada ya miezi mitatu tangu kujiunga utapewa form za matibabu za kujaza na kuchagua Hospital moja kati ya list ya hospital watakazokupa ktk wilaya yako, private na public, ukishachagua utasubiri kwa mda wa mwezi mmoja form zako zikishawasili kwenye Hospital uliyochagua then utakuwa unapata matibabu hapo kwa kulipiwa bure na nssf kila utakapoenda,.. Ukitaka nikukonect zaidi 0752399070
Idadi ya watu wangapi
 
Heshima kwenu wana jamvini, naomba msaada kwa anayejua utaratibu na namna ya kujiunga na huduma ya Bima ya afya kwa mtu asiye muajiriwa, je ni hatua gani za kufuata na ni katika ofisi gani inahusika na huduma hizo? natanguliza shukrani.
Andaa million 1.5 mkuu
 
Back
Top Bottom