Wasira si visionary leader alafu acha kupotosha kwasababu na wewe umepata pakusemea tu ndio uanze kudanganya sababu unajua kila mtu sasa ataweza kuamini kila baya kwa chadema tena kwa urahisi.labda nikukumbushe wasira hajawahi kushauri kuhusu kusambaratika kwa chadema bali alisema...
Huu ndo upuuzi wananchi wanaoupigia kelele je kwanini mbunge wao alipo tukana leo hasubuhi hakutolewa nje hadi mwenyewe akaona aibu mchana akaomba msamaha kweli mkuki kwa nguruwe mtamu lakini kwa binadamu mchungu kama alivyosema spika sasa imerudi kwao,by the way who is mwigulu nchemba ktk nchi...
kwa mwendo huo basiiiii kwisha habari yao ukweli unazidi kujifunuwa kadri muda unavyoenda.kwanini wanunuwe hayo magazeti?kwa ajili ya nini haswa ndo sababu ya kununuwa hayo magazeti na nani kawatuma walionunuwa na kwa faida ya nani ili wananchi wakose haki yao ya msingi ya kupata habari,mfa maji...
Ccm nchi imewashinda kila kona wapishe wanaoweza kuongoza nchi yani kila kitu usanii tuuu kuanzia elimu afya gesi umeme mikataba hakuna wakifanyacho ofisini blaaa blaaaa tu na porojo
Babu rushwa, baba rushwa, watoto rushwa na wajukuu rushwa waaache wamalizane wenyewe chama cha rushwa hicho bila pesa hauwezi kuwa kiongozi kwa kina magamba bila pesa
wawafukuze waone cha moto ha ha ha ndo utawala wa sheria ulivyoegemea upando mmoja kweli tanzania inaongoza kwa utawala bora ingekuwa M4C washapigwa na kufunguliwa kesi long time wakipewa sababu eti inteljensia inaonyesha kutatokea vurugu,shame on u
Sisi kanisani tunajuwa idadi ya waumini sasa tukijumlisha makanisa yote tunajuwa idadi kamili na kama tunajuwa wakristo ni kiasi gani si tunachukuwa idadi ya watanzania tunatowa wakristo tunapata idadi ya waislamu,is very simple acheni udini kama vipi na nyie jihesabuni huko misikitini mjuwe mpo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.