Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
niwazi kabisa vijana wa chadema ndo walio muua kijana ally muislam mwenzetu.hii ni mara ya pili kwa muislam kufa ktk maandamano ya cdm. Cdm imehusika iwaeleze wananchi
niwazi kabisa vijana wa chadema ndo walio muua kijana ally muislam mwenzetu.hii ni mara ya pili kwa muislam kufa ktk maandamano ya cdm. Cdm imehusika iwaeleze wananchi.
Nimeona katika Channel Ten polisi wametoa ripoti kwamba marehemu Ally aliyeuawa katika maandamano ya Chadema Morogoro amefariki kutokana na kugongwa na kitu kizito sio risasi, hiyo ni baada ya uchunguzi wa madaktari
Nimeona katika Channel Ten polisi wametoa ripoti kwamba marehemu Ally aliyeuawa katika maandamano ya Chadema Morogoro amefariki kutokana na kugongwa na kitu kizito sio risasi, hiyo ni baada ya uchunguzi wa madaktari
Sinema la kihindi hiloooo!