Nadhani unaifahamu ile methali inayosema “MSHIKA MBILI MOJA HUMPONYOKA”
Na pia Najua unafahamu katika Biblia imeandikwa “HUWEZI KUTUMIKIA MABWANA WAWILI”
….Hofu ya Mungu Ikutawale.
Akili Kumkichwa!
Uwe na siku njema.
Bro una miaka mingapi?
Huyu ndio mwanamke wako wa kwanza?
Kuna jamaa hapo kakushauri, safiri nenda mbali fanya vacation yako mwenyewe!
Halafu mruhusu aje achukue vitu vyake mapema futa mawasiliano naye. Bila kufanya hivyo atakuingiza kwenye kishawishi and then utarudii tena hapa ukihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.