screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Hivi kumbe wanaume kama nyie bado mpo? Una hela unalia na mapenzi? Pole sanaNikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake
nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken