Jamani maji yamefika shingoni nimwachaje?

Nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake

nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Hivi kumbe wanaume kama nyie bado mpo? Una hela unalia na mapenzi? Pole sana
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
We jamaa ni kaizi kweli
Hapo mtaani kwako hakuna machangudoa, mama ntilie, wauza mchicha, wauza matunda, waosha nywele saloon au Bar maids?!
Kwanini uhangaike na kiumbe ambae hujui alizaliwa vipi na kukuzwa vipi?!
What If sio binadamu wa kawaida?!.
 
Mna mda gani?

Kwa wanawake wako ivu kama unadate nae kwa muda mrefe arafu aoni dalili yeyote ya wewe may be kumchumbia ndoa aoni ww kazi yako kuchakata tu lazima atakuwa hivyo tuu ushauri nakupa ebu jaribu kupeleka kwao posa na kisha mahali then uone mwitikio wake kwako kama atakuwa ivyo ivyo bac piga chini fasta jiongeze fanya yako...

By the way mm ishawai nitokea hii nilimsubirisha mwanamke kwa muda wa miaka 5 wa sita akanza nifanyia vituko kama hivyo nikajiongeza akawa yuko vzr tu lkn pia usi cremishe mana mapenzi ayaeleweki.
Sababu ziko tofauti! Mwanamke wako kiu ilikuwa ndoa. Wengine anakuchoka tu unakuta excitement imeisha tu yamebaki mazoea anatafta changamoto mpya huko nje! Akiipata vinaanza visa...

Kwa situation ya mtoa mada ni dhahiri hakupendwa toka awali ila hakulijua tu😂 mwanamke alimchukua kama hati ya dharura tu kabla hajampata wa type yake. Mwanamke akikolea vizuri hamuachani in two months period unless ana jini mahaba😂😂😂
 
Baya lipo.. kuna wakati KE akichukia huwa hasemi...Unaona mambo yanaanza kubadilika tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana shukurani huyo ila ni kawaida wanawake huwa na mapuuza sana ikiwa hisia hazija click vyedi! Mwanamke akipenda hata ukimlaza kwenye mkeka atakuona bill gates.

Humpi hata mia ila always she will be there for you sababu anaku feel deeply!
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Kifurushi kimeisha mkuu , jiongeze wadada wazuri wapo wengi
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Ukiweza kujiua utakuwa umeepuka mengi
 
Hana shukurani huyo ila ni kawaida wanawake huwa na mapuuza sana ikiwa hisia hazija click vyedi! Mwanamke akipenda hata ukimlaza kwenye mkeka atakuona bill gates.

Humpi hata mia ila always she will be there for you sababu anaku feel deeply!
Iko hivyo.. Mwanamke akipenda atavumilia vingi..Ila ME akianza kuzingua tu taratibu Upendo unaanza kupungua.. Mwisho wa siku jamaa anaona mambo hayapo kama alivyozoea.. kuja kushtuka kaachwa siku nyingi... ilibaki utekelezaji tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom