Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091
- Thread starter
- #141
Wote tuko ivyo so mbadilishe wakwako tabia na uendelee nae maana hata ukiachana nae popote utakapoenda utakuta hayohayo kikubwa akuheshim halaf KOMA KUPEKUA SM ZA MWANAUME
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona jogoo anatembea na watetea wote hata hawamaindiani kwanni wwe
wanaume hatukuumbiwa EVA bali tuliumbiwa HAWA.
Ondoa hofu mbona wanaume wengi tu.
gyole ukiwa na magari ina maanisha kila siku utakuwa wa kupata ajali dereva makini hujali usalama wa abiria wake
Acha ibinafsi. Unataka umiliki peke yako ili wenzio wakose. Mbona wanawake hampendani hivi? Mna shida gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sista pole.Ila wanawake kumi siyo wengi sana hata hivyo jamaa ni muelewa sana huyo sababu wanaume wengi huwa na wanawake zaidi ya ishirini hivi.sema alichokosea ni ku leakisha taarifa wengine hupigaga kimya kimya na mambo ndani yanaendelea vizuri tu.so siyo rahisi kumkuta mwanaume mwaminifu 100%.ukimkuta hachepuki atakuwa na tabia mbadala mbaya pia. so wewe jaribu kuongea naye umalizane mkubaliane upya.sababu usingle ni taabu sana.unaleta shida saan kuuzoea ikiwa ulikuwa kwenye ndoa.halafu utaapotaka kurudi atakuwa ameshakudelete mazima
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilimjua sana tu sema kuna vitu(maslahi) ulifata zaidi ya mapenzi sasa vuna ulichopanda, ni ama kuachana nae au uvumilie hivyo hivyo, staki kuamini kuwa ameanza tabia hiyo ukiwa nae, laa alikuwa nazo ila wewe ukadhani anaweza kubadilika.Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiteseke Gyole kaa pembeni ili umpe nafasi ya kuji enjoy mubashara huyo.
Hutojutaaa kufanya hivyo