Recent content by devot

  1. D

    Natafuta mwanamume

    We we utakuwa mluggulu
  2. D

    Nimetumiwa TZS 700,000/= M-PESA na mtu nisiyemjua

    Wanna Jf mtoa mada huyo mwongo hajatumiwa hiyo heal wala nn. Nahisi ni msaikolojia ambaye ana lengo LA kujua hisia zebu na kulinganisha wanna escrow
  3. D

    Vikosi maalumu 16 bora na hatarishi zaidi duniani, Tanzania ni ya tatu!

    Msumemo. Nashauri usimuindoe illovo miwani ya mbao aliyovaa. Maana yawezekana ni mamluki anatafuta habari na lengo lake anapenda tupigane wenyewe ndo atambue kuwa jeshi letu imara .
  4. D

    Natafuta vyombo vya ndani vya kununua - Dar

    Weka mamba yako
  5. D

    Ifahamu Ndele, dawa ya kumpata msichana bila kumtongoza

    Saikolojia yako ndogo. Wala hapo hakuna ukweli wwte Zhao watu walikuwa wanafamiana kabla ila we hukutambua.
  6. D

    Pengo awalipua Maaskofu, asisitiza uamuzi wa aina ya kura ni wa mtu binafsi

    Kanisa katoliki siyo chama kusema kwamba wamepunguza mwanachama. Ndo maana hujawai kusikia au kuona wanatangatanga kutafuta wafuasi. Kanisa katoliki wana misingi inayowaongoza kama jeshi. Miiko inayoongoza kanisa katoliki ukiivmia Kwa kutumia akili ndogo utajiondoa mwenyewe. Ndiyo maana majeshi...
  7. D

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Hata kuwa fisadi ni maamuzi magumu maana cyo kila MTU anaweza kuwa fisadi
  8. D

    Taarifa sahihi kuhusu ulinzi wa Dk. Willibrod Slaa dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa

    Kwan Dr Silaa na usalama wa Taifa ni maadui? Mlinzi was Silaa kupanda gari la usalama kuna tatizo gan?
  9. D

    Bakheressa na JK....uso kwa uso.

    Kwan Azam anatumia kilevi?
  10. D

    Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

    Nidhairi huyo mamapoa hana kazi ya kufanya na mmewe anamjali anakula anashiba wakati Mme wake yuko bize .kama wewe una akiri timamu mshauri amwambie mmewe am keep bize wakati huo uwe unajiandaa kuwa mkeo atafanyiwa hivyo
  11. D

    Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

    Wadau baadhi ya picha ni za hapa nchini msidanganywe
  12. D

    Jakaya Mrisho Kikwete, Mungu atakulipa!

    Mtoa mada nakuunga mkono Kwa kuuona baadhi ya mafanikio aliyoyafanya Jk japo yapo mengi uloyaacha kutokana na mda wako kuwa finyu. Lakini unaamin kuwa watanzania wote tunaona na mwenyemacho aambiwi tazama. Nakubaliana na we we kweli mkubwa ni jalala
Back
Top Bottom