Recent content by Deus1234

  1. Deus1234

    Uwepo wa Atheists unathibitisha uwepo wa Mungu kuliko unavyoweza kufikiri

    Daah!! Mada zangu hizi, nazipenda sana yaani. Kiranga mimi namuelewa sana huyu jamaa
  2. Deus1234

    Mtandao wa "Google Search India" watikiswa, Rais Samia akitafutwa kama dhahabu

    Maana yake, yeye ni mgeni huko India hawakuwa wanamjua kabla......!
  3. Deus1234

    Mbona Kigamboni umeme haukatiki?

    Wakati maeneo mengi nchini mkilalamika kukatika hovyo kwa umeme, KIGAMBONI mbona haukatiki?
  4. Deus1234

    AI (akili bandia) haiwezi kuchukua nafasi ya utashi wa binadamu

    Kama Al ndiyo hii, kwamba itakuwa huru kuamua kama binadamu. Amini huu ni uumbaji mpyaa.
  5. Deus1234

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Watu wengine ni kama hamna akili, yaan akili zenu hamzitumii ipasavyo kufikili. Unahitimisha vp kuxema vi2 vyoto vimeumbwa na Allah huku unaipinga evolusheni? allah yeye katokea wap? alijiumba? kama allah hana chanzo wala mwisho kama mnavyexemaga, hv v2 vingine inaxhindkana vp kutokea bila chanzo?
  6. Deus1234

    Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

    Umeongea poit, lakini nitamjuaje kwa mtazama tu kama ni bikra?
  7. Deus1234

    Ifahamu bangi na madhara yake

    Nikadhani wazi kabisa wewe ni Daktari kumbe muhuni tu. hakuna ulichozungumza hapo.
Back
Top Bottom