Deus1234 Member Joined Jan 10, 2023 Posts 15 Reaction score 44 Sep 22, 2023 #1 Wakati maeneo mengi nchini mkilalamika kukatika hovyo kwa umeme, KIGAMBONI mbona haukatiki?
Tareek Azeez JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 14,365 Reaction score 35,795 Sep 22, 2023 #2 Umeme unakatika. Umeme unakata . Umeme unakatwa. Legacy ya Mwezi wa Kwanza.