Habarini wandugu.
Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu.
Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali. Kunithamini wala kunipenda kama...
Habari za leo ndugu zangu,
Mimi ni mkazi wa Arusha ila kwa bahati nzuri nimepata kazi mkoani Singida, kutokana na ugeni napenda kupata marafiki waliopo Singida mjini, na pia wawe watu wazima umri kuanzia miaka 35 na kuendelea.
Kwa watakaopenda wani PM, Shukrani
Pole sana mtoa uzi. Ila mi nikutie tu moyo japo kidogo, kwamba kama umeweza hata kuandika huu uzi hapa jamvini basi una confidence kwa hyo anza kujiamini tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.