Recent content by Destinylady

  1. Destinylady

    Mramba wa TANESCO hueleweki, kazi imekushinda, jiuzulu!

    Singida pia ni majanga hayohayo
  2. Destinylady

    Ina maana gani kuning'iza|kutundika viatu juu ya nyaya za umeme mitaani?

    Mi mwenyewe nimejua leo. Yani naonaga hivyo viatu lakini sielewagi maana yake. Asante mtoa habari umetutoa gizani tuliokua hatujui
  3. Destinylady

    Ana miaka 36 lakini nampenda sana

    Achana na huyo mwanamke usije ukafa kabla ya umri wako aisee
  4. Destinylady

    Nahisi sina bahati

    nimejaribu hizo njia zote lakini wapi
  5. Destinylady

    Nahisi sina bahati

    nakwambia ni shida mbona
  6. Destinylady

    Nahisi sina bahati

    Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali. Kunithamini wala kunipenda kama...
  7. Destinylady

    Sijawahi pata mwanamke chini ya umri wangu japo mimi mdogo

    Mshukuru Mungu cause hao wanawake wa age unazotaka ni pasua vichwa. So hapo upo kwenye mikono salama na ukumbuke mapenzi hayaangalii umri
  8. Destinylady

    Wafahamu mastaa wa kike Bongo Movie wenye mvuto zaidi

    Hapo labda Lulu na Batuli jumlisha na Uwoya, hao wengine wakawaida tu
  9. Destinylady

    Zifuatazo ni dalili za mwanaume asiye na pesa

    Wanaume wa aina hii warudi tu vijijini wakalime
  10. Destinylady

    Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

    Amenyooshwa akanyooka. Kwishwa jeuri yake
  11. Destinylady

    Nahitaji marafiki kwa wakazi wa Singida

    Habari za leo ndugu zangu, Mimi ni mkazi wa Arusha ila kwa bahati nzuri nimepata kazi mkoani Singida, kutokana na ugeni napenda kupata marafiki waliopo Singida mjini, na pia wawe watu wazima umri kuanzia miaka 35 na kuendelea. Kwa watakaopenda wani PM, Shukrani
  12. Destinylady

    Nisaidieni mawazo/ mbinu, nina hulka ya kukosa kujiamini ghafla

    Pole sana mtoa uzi. Ila mi nikutie tu moyo japo kidogo, kwamba kama umeweza hata kuandika huu uzi hapa jamvini basi una confidence kwa hyo anza kujiamini tu
Back
Top Bottom