Recent content by Destined to heaven

  1. D

    Swali kuhusu bosi mpya wa TPDC

    kwanza unaijua hiyo LNG ulinganishe na hiyo reli?
  2. D

    Swali kuhusu bosi mpya wa TPDC

    hahahhahaha kweli unahitaji source kama unamjua yona mpk leo
  3. D

    Wasomi waponda hotuba ya Magufuli Dodoma

    we ndio una safari ndefu ni kweli hakuna watumish wa uma ni wa uma si wa chama maana wanatumikia watu wa vyama vyote kwani hao wa chama hawatoshi kuja kukaba watumishi koo lazima wawe wanachama?grow up!Tuacheni uchama hatutaendelea kwa ustaarabu huu
  4. D

    Ule utendaji uko wapi?

    tuko busy tunapaki mizigo kuelekea idodomya
  5. D

    Siri ya Magufuli kuogopa kuigusa IPTL ambayo inalipwa milioni 400 kwa siku na TANESCO

    hahahaha kabisa mkuu na hivi dawa za misaada hakuna.
  6. D

    Uganda Airlines kuanza na safari za kimataifa

    hahahah hasara wakati wameshajiestablish vya kutosha hasara zipo kwenye business na pia kuna kuinuka pia so usitegemee in any how mtaipiku labda kwa east africa tu lakini hasara ya KQ si kama ya Air Tanzania hata kwenda mtwara ilikua shida.Nyie mpaka muanze kujikita kwenye soko wenzenu mnadhani...
  7. D

    Is my wife dating someone else?

    Dont buy taht shit at all she is dating someone else bro.Nothing of that kind happen by chance.My advice is dont rush to conclusions that can impact your family .Just take it with you and keep on investigate for sometime and get accurate evidence and come up with desicions.
  8. D

    Nilifanya nae mapenzi kinyume na maumbile, je anafaa kuoa?

    we uliemfanya je unafaa ama kwa hakika?kwa nini umfanyie hivo kwa nini usingeonyesha msimamo wako?wote mko sawa so usimuhukumu mwenzio.
  9. D

    Lembeli: Sirudi CCM Ng’o!

    wanavopenda kiki waache kumpokea hahahahah
  10. D

    Uganda Airlines kuanza na safari za kimataifa

    Hahahahaha awali ni awali tu wenzenu washameza soko you will never hit them nyie ndo mnakumbuka shuka jogoo kawika ndo mnasema tutaheshimiana hahaha
  11. D

    Sasa ni Dhahiri: Bandari yakumbwa na Uhaba wa Mizigo

    Hahahahahahahaha kabisa mkuu dah its a mega end of thinking capacity.
  12. D

    Sasa ni Dhahiri: Bandari yakumbwa na Uhaba wa Mizigo

    hahahaha kabisa sasa sijui kubana mianya na kuongeza kodi kuna uhusiano gani.Kama lengo lilikua ni kuokoa pato then kwa nini kodi iomgezwe ?isibaki ileile tuendelee kuatract wenye clean bsiness? watu kukosa hela kabisa ni sifa si kuwaletea watu umskini usio na sababu nawahurumia wale wa mlo...
  13. D

    Sasa ni Dhahiri: Bandari yakumbwa na Uhaba wa Mizigo

    hahahaha kwni bado yanatangazagwa tena.nawahurumia wasiojua impact wamebaki kukariri wezi hahaha
Back
Top Bottom