Kwanza habari zenu nimewamisi sana kitambo sijatia timu hapa.
Hii imenitokea mimi mwenyewe na kunikosesha raha kabisa.
Wiki kama mbili hivi tulipata barua ya uchumba ya mtoto wa dada yangu tunaishi nae kwa wazazi wangu baada ya dada kufariki. Wazazi waakaijibu vizuri haikuchukua muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.