Nakupa pole sana ndugu,kwa jinsi unavyojitahidi uonekane uko timamu lakini mtu makini hahitaji kuumiza sana kichwa kuelewa ni kitu gani unakiitaji toka ccm nadhani ni ubunge,lakini unapoteza muda wako bule wewe.
pole sana ndugu huo uwekezaji wanaokuja kuwekeza unaelewa vizuri wanavyoingia mikataba mibovu na viongozi wezi,walafi wasiyo na chembe ya huruma na nchi na wananchi,kwa hiyo hao unaosema wawekezaji wanaiba mali ya hii nchi kwa sababu ya viongozi wetu mambumbumbu kwa iyo ndugu haki inadaiwa haiombwi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.