Recent content by deoscor

  1. D

    Business ideas (Bure)

    Maana yangu ya kukushauri usahau kwanza mawazo ya mil 2 kwa mwezi faida nilitaka nikushauri hivi , kwa sasa ni wakati wa mavuno maeneo mbali mbali nchini unaweza kuwekeza fedha kwenye mpunga ni mfano tu ukanunua ukatunza ukauza baada ya miez kama mitano. Hii inaweza kujibu ndoto yako kama...
  2. D

    Biashara yangu inaniingizia faida ya Tsh. 200,000 kila mwezi; Je, Niiache niende chuo?

    Yesuu!! Dogo amenikera tu anovofikiri eti akasome ili tu atembelee STK ! Kha! Yaani hutaki kutembelea STK yako utakayopata kutokan na Biashara zako untaka ya Magufuli ankupa funguo anabaki na masterkey akitaka Gari yake anaagiza uirudishe popote ulipo aseee???? Sijakuelewa kabsaaa!! He? Kwanza...
  3. D

    Business ideas (Bure)

    Nafikiri unao mtaji , lakini mtaji pia sio mdogo ila pia sio mkubwa . kila Biashara inahitaji mtaji pesa mtaji wazo ndio wa msingi zaid kuliko pesa, na hapa naona unataka wazo.this is beautiful and interest ing Maswal mengi ya wachangiaji yamejikita kujua were uliwaza nn hadi ukafikiri faida ya...
  4. D

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Taboara girls Mkuu imekuwa ya ngapi kitaifa? Post sent using JamiiForums mobile app
  5. D

    Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

    Akikuwepo mwenzake ubungo almaarufu mayenu nae sijui huko wapi jamani mnamkumbuka? Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
  6. D

    TAKUKURU: Kurudisha hela hakukuondoi kwenye tuhuma, sheria kufuata mkondo wake

    Sidhani kama ni akili yake mwenyewe, Nina shaka hapa kuna sindicate ,Ngeleja in mwana sheria kwa taaluma , siamini kama anajarubu kufanya asichojua matokeo take kisheria. Anajua fika mbele ya safar kuna bonds au mlima kwanza fikiria pesa hizi zimerudishwa 40.4 mil wakat huo zilishalipiwa kodi...
  7. D

    Dar: Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) ya Uvinza mkoani Kigoma, Auawa Kinyerezi

    Tuliishi pamoja tukila na kunywa pamoja, tulikupenda na kukufurahia, lakini baba Wa Mbinguni amekupenda zaidi, RIP kamanda.
  8. D

    Harusi ya kimasikini

    Sasa umaskini hapa umetoka wapi? Jamani tujiongeze tunapoongelea umasikini tuangalie na tafsiri yake. Umaskini in hali ya MTU kushindwa kupata kipato kina nachowezesha kuyamudu MAISHA yake hata kwa mlo mmoja . sasa wenzetu hawa wamevaa vizuri wana afya njema wanamjua Mungu wanafunga ndoa yao...
  9. D

    Mashine ya kutengeneza mkaa wa kisasa inauzwa

    Kama kuna clip inayoonyesha utendaji wa mashine ungaliiweka hapa ungejenga wazo lenye nguvu chanya zaid na wengibwatakuelewa kuliko sasa
  10. D

    True story: Ushuhuda wa ndoa yangu

    Kwanza nikupe pole sana kwa mkasa huu mkubwa uliokukuta. Lakini nikupongeze kwa MAISHA yako mapya ambayo sio rahisi watu kuamini uliyosimulia maana Mungu ni mwema kila wakati. Honestly sikusoma story yote ila nilisoma mwanzo na mwisho, lakini nilipata concept yote. Ninasma haya kwa sababu mm ni...
  11. D

    Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

    Nitafute in box 0784247080 usitazame sana mkaa uliouzoea Fanya utafit Sik hizi kuna mkaa aina nyingi . mkaa Wa msituni sio dill tena fikiria mkaa Wa Wa kiwandani pia unalipa
  12. D

    Ndalichako piga marafuku watoto kwenda shuleni wakati wa likizo

    Kimsingi likizo no muhim kwa motto kwani haikutokea tu. Utafiti ulifanyika na ulazima ukaonekana ikiwemo za afya , domestic studies pickniks na kubwa ni kumstress free mtotobili aweze kuanza upya baada ya kipindi fulani.tatizo in mfumo Wetu Wa utoaji elimu ndiyo unaonekana kulega lega kila Mara...
  13. D

    Tetesi: Kikwete kapata tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo

    Jamani Huyu mzee alishamaliza kazi ya kitaifa, kama mtawala anaweza yakawa mapungufu hapa na pale lakini kazi alifanya na alishamaliza mwacheni apumzike, sasa mwenzetu kapata tenda ya kusambaza cement yenye uwezekano wa kukodi malory yetu madereva wataoat kazi mafuta na vilainish tutauza...
  14. D

    Prof. Ndalichako apiga marufuku uvaaji wa Majoho kwa wahitimu ngazi za chini

    Mapendekezo , kila shule au chuo kiandae vazi ,au baige maalum zutazivaliwa na wahitimu wao lakin isiwe wala kufanana na joho . joho lipewe heshma yake
  15. D

    Prof. Ndalichako apiga marufuku uvaaji wa Majoho kwa wahitimu ngazi za chini

    Kwa kweli unapotaka kusafisha nyumba lazima uwe na maeneo maalum LA kuanzia na pole pole Luna mengine yatafuatia. Elimu yetu in eneo lililochezewa sana kWa kipindi kirefu. Lilikosa utashi wa kiweledi kijamii hata kisiasa. Sasa kama amepatikana MTU anayeonesha kwamba angalao anaweza kuisafisha...
Back
Top Bottom